Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Rais wa Fifa naipongeza Yanga fc kwa kuwa mabingwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka Kaburu awape muongozo!
Mimi naomba wafuata upepo wa klabu ya simba sc waichukulie hii pongezi kama jibu la rufaa yao!
Mbn rufaa za hapa bongo mlimlaum malinzi kwa hamjui mfumo wa TFF?Rais wa FIFA ndo anatoa maamuzi ya rufaa? Mnajua muundo wa FIFA au?
Yeye malinzi si aliwaambia akibali team ya nyumbani eti ipokwe point na yeye pia mwenyekiti wa soka kagera Sisi Simba sc tunatulia atutishiki na post ya uongo hiyo ya malinzi mwanachama hai wa yangaMbn rufaa za hapa bongo mlimlaum malinzi kwa hamjui mfumo wa TFF?
simba bwana kelele nyiiiiiiiingiiiiiiii ,ndiyo maana rage aliwaita mbumbumbuYeye malinzi si aliwaambia akibali team ya nyumbani eti ipokwe point na yeye pia mwenyekiti wa soka kagera Sisi Simba sc tunatulia atutishiki na post ya uongo hiyo ya malinzi mwanachama hai wa yanga