Rais wa Ghana ameshika picha ya Nairobi akisema anataka Accra ifanane hivyo.

Rais wa Ghana ameshika picha ya Nairobi akisema anataka Accra ifanane hivyo.

Waghana wanajua Dar ni three towers city,so hawaezitaka Accra iwe hivo [emoji16]
tapatalk_1556207607548.jpeg
 
Ahaaa haaa haaa
Exposure exposure exposure. Most of you guys have a limited exposure. Have you ever travelled to Gaborone, Windhoek, Kinshasa.
Tembea uone.
Kinshasa? Wacha kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Nimeiona kwenye documentary fulani, sipingi kuwa iko sawa kushinda Dar lakini haijafikia Nairobi kwa maendeleo wala uchumi.

Ahaaa haaa haaa
ilete hiyo documentary yako hapa.
Nimekuambia uende ukajionee. Na si kujifungia tu hapo Nairobery.
 
Ahaaa haaa haaa
ilete hiyo documentary yako hapa.
Nimekuambia uende ukajionee. Na si kujifungia tu hapo Nairobery.
Kwanza una bundles za Airtel au vodacom za kutosha? Kama unazo niambie halafu nitaweka sasa hivi.
 
Kwanza una bundles za Airtel au vodacom za kutosha? Kama unazo niambie halafu nitaweka sasa hivi.

Ahaaa haaa haaa
Bundles huku niliko ni limitless. Ukitaka njoo ujiunge nasi.
 
Kujia Tusker crate mbili
He he this is AFRICA and africa is our business,let them use it. .....Nairobi skyline is ofcourse sexy and attractive due to proper planning-poster child of how to plan a city in sub-saharan africa,apart from joburg and harare,no other city beats nairobi planning in africa,look at it this way-the rectangular box that is is uhuru highway,moi avenue,haile selasie avenue and university way has a series of streets and avenues meeting at 90 degrees,haile selasie avenue used to be first avenue,harambee avenue used to be second avenue-the trend continues all the way to university way which used to be tenth avenue,then you have uhuru highway which used to be first street,koinange street used to be second street,and so on up to the seventh street....then you have green public parks just above uhuru highway and others at various parts of the city,leafy western sububarbs,high density eastlands,a natural park within city limits and two natural forests-Nairobi is just NEXT LEVEL.
 
Back
Top Bottom