Rais wa Ghana, John Mahama ametangaza marufuku ya safari za Ndege za daraja la kwanza kwa Maafisa wa Serikali

Rais wa Ghana, John Mahama ametangaza marufuku ya safari za Ndege za daraja la kwanza kwa Maafisa wa Serikali

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Rais wa Ghana, John Mahama ametangaza marufuku ya safari za Ndege za daraja la kwanza kwa Maafisa wa Serikali wakiwemo Mawaziri ikiwa ni sehemu ya juhudi za kupunguza matumizi ya Serikali.
images (86).jpeg


Aidha Rais Mahama amesisitiza kuwa safari za dharura pekee ndizo zitakubaliwa na lazima zidhinishwe na Ofisi ya mkuu wa Wafanyakazi.
images (87).jpeg


Aliongeza kwa kusema kuwa Maafisa wanapaswa kuepuka matumizi ya anasa na kutumia rasilimali za umma kwa busara akisisitiza kuwa fedha za Serikali zinapaswa kuelekezwa katika kuboresha maisha ya Wananchi wa Ghana badala ya kupotezwa kwenye anasa.
 
Rais wa Ghana, John Mahama ametangaza marufuku ya safari za Ndege za daraja la kwanza kwa Maafisa wa Serikali wakiwemo Mawaziri ikiwa ni sehemu ya juhudi za kupunguza matumizi ya Serikali.
View attachment 3232547

Aidha Rais Mahama amesisitiza kuwa safari za dharura pekee ndizo zitakubaliwa na lazima zidhinishwe na Ofisi ya mkuu wa Wafanyakazi.
View attachment 3232548

Aliongeza kwa kusema kuwa Maafisa wanapaswa kuepuka matumizi ya anasa na kutumia rasilimali za umma kwa busara akisisitiza kuwa fedha za Serikali zinapaswa kuelekezwa katika kuboresha maisha ya Wananchi wa Ghana badala ya kupotezwa kwenye anasa.
hiyo picha ni ya Rais mstaafu wa Ghana ,Nana Akufo-Addo.Jitahidi kufanya utafiti kabla ya kuandika chapisho lolote
 
Back
Top Bottom