TUJITEGEMEE JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 25,225 Reaction score 25,488 Oct 16, 2024 #21 Huihui2 said: Akikubali positive criticism Click to expand... Unaweza kuzifafanua criticism hizo zilizolengwa kwake? Tuanzie hapo kwanza .
Huihui2 said: Akikubali positive criticism Click to expand... Unaweza kuzifafanua criticism hizo zilizolengwa kwake? Tuanzie hapo kwanza .
blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 12,112 Reaction score 15,060 Oct 16, 2024 #22 Sema Magufuli haka kadada asingekaacha. Angekaachia kijiti. Ndo hvyo tu, Mungu naye hupanga yake. Sema kawe makini maana hakuna Rais anapenda funikwa...🤗😅
Sema Magufuli haka kadada asingekaacha. Angekaachia kijiti. Ndo hvyo tu, Mungu naye hupanga yake. Sema kawe makini maana hakuna Rais anapenda funikwa...🤗😅
Mr Q JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 18,046 Reaction score 38,598 Oct 16, 2024 #23 Huihui2 said: Unampongeza ujinga na wewe ni chawa wake tu. Ndiyo maana hamfiki mbali. Tilia hana skills kwenye masuala ya conflict resolution and diplomacy. Akikubali positive criticism itamjenga lakini siyo sofa za kibwege Click to expand... Tuliza akili kijana. Kiongozi anapofanya vyema ni vyema kumpa hongera zake. Sijawah kuwa chawa
Huihui2 said: Unampongeza ujinga na wewe ni chawa wake tu. Ndiyo maana hamfiki mbali. Tilia hana skills kwenye masuala ya conflict resolution and diplomacy. Akikubali positive criticism itamjenga lakini siyo sofa za kibwege Click to expand... Tuliza akili kijana. Kiongozi anapofanya vyema ni vyema kumpa hongera zake. Sijawah kuwa chawa
Huihui2 JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 7,021 Reaction score 11,475 Oct 16, 2024 #24 TUJITEGEMEE said: Unaweza kuzifafanua criticism hizo zilizolengwa kwake? Tuanzie hapo kwanza . Click to expand... Kwa hiyo unaungia kwenye mjadala bila kujua mada?? Unapanda basi la Kimbinyiko halafu ndipo unauliza linakwenda wapi?
TUJITEGEMEE said: Unaweza kuzifafanua criticism hizo zilizolengwa kwake? Tuanzie hapo kwanza . Click to expand... Kwa hiyo unaungia kwenye mjadala bila kujua mada?? Unapanda basi la Kimbinyiko halafu ndipo unauliza linakwenda wapi?
Huihui2 JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 7,021 Reaction score 11,475 Oct 16, 2024 #25 Mr Q said: Tuliza akili kijana. Kiongozi anapofanya vyema ni vyema kumpa hongera zake. Sijawah kuwa chawa Click to expand... Amefanya vyema kwenye nini? Yaani uchawa ni upumbavu!! Ni nini chema kafanya hapo?
Mr Q said: Tuliza akili kijana. Kiongozi anapofanya vyema ni vyema kumpa hongera zake. Sijawah kuwa chawa Click to expand... Amefanya vyema kwenye nini? Yaani uchawa ni upumbavu!! Ni nini chema kafanya hapo?
Mr Q JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 18,046 Reaction score 38,598 Oct 16, 2024 #26 Huihui2 said: Amefanya vyema kwenye nini? Yaani uchawa ni upumbavu!! Ni nini chema kafanya hapo? Click to expand... Nini kibaya amefanya hapo labda ukinelewesha naweza kuungana na wewe
Huihui2 said: Amefanya vyema kwenye nini? Yaani uchawa ni upumbavu!! Ni nini chema kafanya hapo? Click to expand... Nini kibaya amefanya hapo labda ukinelewesha naweza kuungana na wewe