Rais wa Israel asema Netanyahu ataondoka tu

Rais wa Israel asema Netanyahu ataondoka tu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Raisi Isaac Hezrog wa Israel amethibitisha kuwa nchi hiyo haijawahi kupata kipigo na madhara tangu vita vya Yom Kipur isipokuwa mwaka huu wakati wa waziri mkuu Benjamin Netanyahu.

Katika kumfafanua waziri mkuu huyo, Hezrog amesema Netanyahu ameweza kuhimili misukosuko mingi katika kipindi chake cha kisiasa cha miaka 30 lakini safari hii itabidi aondoke kutokana na uzembe mkubwa wa kiusalama uliotokea mwaka huu.

Katika historia yake hiyo amepewa majina mengi kutokana na kuponea kwake chupu chupu kuondoshwa madarakani. Ameitwa king bibi kwa kukaa kwake madarakani kwa muda mrefu. Vile vile ameitwa mwanasiasa mchawi kwa kuweza kupata ushindi wakati dalili zote zikionesha kushindwa.

Hivi karibuni alipewa jina la amani (security). Jina hilo amesema sasa limechanwa chanwa baada ya Hamas kupenya ngome na kuuwa waisrael wengi kuliko kipindi cha kiongozi yeyote nchi hiyo.

Yom Kipur na vita vingine viliuwa watu lakini ilikuwa ni vita vilivyojulikana viko karibu kutokea kutokana na kusoma harakati za adui. Hili shambulio la Hamas halijapata kutokea na wala kufikirika.
 
Raisi Isaac Hezrog wa Israel amethibitisha kuwa nchi hiyo haijawahi kupata kipigo na madhara tangu vita vya Yom Kipur isipokuwa mwaka huu wakati wa waziri mkuu Benjamin Netanyahu

Katika kumfafanua waziri mkuu huyo, Hezrog amesema Netanyahu ameweza kuhimili misukosuko mingi katika kipindi chake cha kisiasa cha miaka 30 lakini safari hii itabidi aondoke kutokana na uzembe mkubwa wa kiusalama uliotokea mwaka huu.

Katika historia yake hiyo amepewa majina mengi kutokana na kuponea kwake chupu chupu kuondoshwa madarakani.Ameitwa king bibi kwa kukaa kwake madarakani kwa muda mrefu. Vile vile ameitwa mwanasiasa mchawi kwa kuweza kupata ushindi wakati dalili zote zikionesha kushindwa.

Hivi karibuni alipewa jina la amani (security). Jina hilo amesema sasa limechanwa chanwa baada ya Hamas kupenya ngome na kuuwa waisrael wengi kuliko kipindi cha kiongozi yeyote nchi hiyo.

Yom Kipur na vita vingine viliuwa watu lakini ilikuwa ni vita vilivyojulikana viko karibu kutokea kutokana na kusoma harakati za adui. Hili shambulio la Hamas halijapata kutokea na wala kufikirika.
Sio tu kuondoka madarakani, huyu Netanyau atafunguliwa mashtaka mengi sana na kuburuzwa mahakamani kama sio kufungwa jela siku zijazo


Kwa sababu haiingi akilini kabisa ukiona zile video jinsi wanajeshi wa Hamas walivyokuwa wakivuka mipaka ya Israel kwa urahisi utafikiri mtu anaingia chooni , hakika utaja baini kulikuwa kuna ajenda kubwa ya sirii ya kuruhusu huu uvamizi na amauaji ya waisraeli ili waweze timiza malengo yao ya kuutwaa ukanda wa Gaza, kupata misaada ya silaha na fedha zaidi kutoka marekani na washika wake, lakini pia kuweza kupata justification ya kuwaua Wapalestina na kuwaondoa kabisa katika ardhi yao .

Pia, kuna taarifa pia zinazosema intelijensia kutoka Misri zilijaribu kuwasiliana na Mosad mara kadhaa bila mafanikio.

Mambo ni mengi sana kwa sasa, ila muda utaongea. Ukweli utajulikana.
 
Sio tu kuondoka madarakani, huyu Netanyau atafunguliwa mashtaka mengi sana na kuburuzwa mahakamani kama sio kufungwa jela siku zijazo


Kwa sababu haiingi akilini kabisa ukiona zile video jinsi wanajeshi wa Hamas walivyokuwa wakivuka mipaka ya Israel kwa urahisi utafikiri mtu anaingia chooni , hakika utaja baini kulikuwa kuna ajenda kubwa ya sirii ya kuruhusu huu uvamizi na amauaji ya waisraeli ili waweze timiza malengo yao ya kuutwaa ukanda wa Gaza, kupata misaada ya silaha na fedha zaidi kutoka marekani na washika wake, lakini pia kuweza kupata justification ya kuwaua Wapalestina na kuwaondoa kabisa katika ardhi yao .

Pia, kuna taarifa pia zinazosema intelijensia kutoka Misri zilijaribu kuwasiliana na Mosad mara kadhaa bila mafanikio.

Mambo ni mengi sana kwa sasa, ila muda utaongea. Ukweli utajulikana.
kwamb wapalestina hawana akili kuwazuia hamas mpk kaz hiyo afanye Netanyau ili aepuka kuwabamiza km kisasi? hv ujinga wenu utaisha lin , km ulijuwa walichofanya hamas ni kosa , kwann umlaumu Netanyau anaelipiza kisas badala ya alieanzisha ugomvi ? ulichoandika ni sw ile story ya mfalme Juha ambae alimuhukum kijana mnene kwa kupita krb na eneo la ujenz , fundi mjenz akabakia akishangaa unene wa mpita njia na akasahau ujenz ukuta ukamwangukia mtu ukaua , TAFAKARI KABLA YA KUANDIKA JAMBO MUDA MWINGINE MNAONESHA UPEO MDOGO WA KUFIKIRI KISA UNAENDESHWA NA MIHEMKO NA SIO UBONGO
 
Raisi Isaac Hezrog wa Israel amethibitisha kuwa nchi hiyo haijawahi kupata kipigo na madhara tangu vita vya Yom Kipur isipokuwa mwaka huu wakati wa waziri mkuu Benjamin Netanyahu

Katika kumfafanua waziri mkuu huyo, Hezrog amesema Netanyahu ameweza kuhimili misukosuko mingi katika kipindi chake cha kisiasa cha miaka 30 lakini safari hii itabidi aondoke kutokana na uzembe mkubwa wa kiusalama uliotokea mwaka huu.

Katika historia yake hiyo amepewa majina mengi kutokana na kuponea kwake chupu chupu kuondoshwa madarakani.Ameitwa king bibi kwa kukaa kwake madarakani kwa muda mrefu. Vile vile ameitwa mwanasiasa mchawi kwa kuweza kupata ushindi wakati dalili zote zikionesha kushindwa.

Hivi karibuni alipewa jina la amani (security). Jina hilo amesema sasa limechanwa chanwa baada ya Hamas kupenya ngome na kuuwa waisrael wengi kuliko kipindi cha kiongozi yeyote nchi hiyo.

Yom Kipur na vita vingine viliuwa watu lakini ilikuwa ni vita vilivyojulikana viko karibu kutokea kutokana na kusoma harakati za adui. Hili shambulio la Hamas halijapata kutokea na wala kufikirika.
Haifai kulaumiana wakati mpo vitani.
 
Makongo juu maji yamekatwa ,umeme huku lingusenguse, Namtumbo hatuna, T1 yetu ni mbovu, hospital nyingi za serikali huduma ni mbovu ndio maana royal families wanatibiwa India, UK etc etc, middle class wa kitanzania wapo hoi hoi kujadili ya middle east as if wale wa kule huwa wanajadili ya kwetu, wengi wao hata Tanzania hawaijui, sisi tunayajua ya kwao, yanatusaidia nini?,hamas vs Israel ni ya kwao, tuelewe ujinga, umasikini, maradhi na rushwa maadui wetu wakubwa bado wametamalaki
 
Tanzania sasa tuna watu 67M,hii inaifanya nchi yangu kuwa ya 22 duniani kuwa na idadi kubwa ya watu, uchumi wetu unakua kwa 3% to 5%,hatari hii middle class wangu hawajui ILA ile vita ya hamas vs Israel wanaijua kama na wao ni sehemu ya CP au war room
 
kwamb wapalestina hawana akili kuwazuia hamas mpk kaz hiyo afanye Netanyau ili aepuka kuwabamiza km kisasi? hv ujinga wenu utaisha lin , km ulijuwa walichofanya hamas ni kosa , kwann umlaumu Netanyau anaelipiza kisas badala ya alieanzisha ugomvi ? ulichoandika ni sw ile story ya mfalme Juha ambae alimuhukum kijana mnene kwa kupita krb na eneo la ujenz , fundi mjenz akabakia akishangaa unene wa mpita njia na akasahau ujenz ukuta ukamwangukia mtu ukaua , TAFAKARI KABLA YA KUANDIKA JAMBO MUDA MWINGINE MNAONESHA UPEO MDOGO WA KUFIKIRI KISA UNAENDESHWA NA MIHEMKO NA SIO UBONGO
Kujibizana na mtoto mdogo kama wewe wa 1994 ni kijidhalilisha na kupoteza muda wangu maana huna ulijualo kuhusu huu mzozo.
 
Makongo juu maji yamekatwa ,umeme huku lingusenguse, Namtumbo hatuna, T1 yetu ni mbovu, hospital nyingi za serikali huduma ni mbovu ndio maana royal families wanatibiwa India, UK etc etc, middle class wa kitanzania wapo hoi hoi kujadili ya middle east as if wale wa kule huwa wanajadili ya kwetu, wengi wao hata Tanzania hawaijui, sisi tunayajua ya kwao, yanatusaidia nini?,hamas vs Israel ni ya kwao, tuelewe ujinga, umasikini, maradhi na rushwa maadui wetu wakubwa bado wametamalaki
Umeongea mambo ya msingi sana mkuu
 
Kujibizana na mtoto mdogo kama wewe wa 1994 ni kijidhalilisha na kupoteza muda wangu maana huna ulijualo kuhusu huu mzozo.
katafute vizee wenzio uko uswahili namtumbo , toa ukilaza , unaandika ujinga hlf unataka uzeee ufunike ujinga wako , unaezaj mlaumu anaelipiza kisasi , eti kwann hukunizuia nsikushambulie , kwamba ww unaeshambulia huna akili ya kuelewa ulifanyalo? KUWA MTU WA IMAN YENU NI UKICHAA TOSHAA
 
Kwa nini? Kuchagua vita badala ya muungano au maridhiano ya kugawana ardhi?
walishagawiwa ardhi kila mmoja tena wapalestina walipewa ardhi kubwa zaid ila tamaa ya wapalestina imewafikisha hapo
 
Umeongea mambo ya msingi sana mkuu
Thanks mkuu, ingia kwenye social networks za middle class wa Zambia, Zimbabwe, Namibia, hawa wanajadili kwenye jukwaa lao la kimataifa kuhusu business deals, fursa za kimaisha, michongo ya kuingia kwenye first world, sio upuuzi wetu kujadili hamas vs Israel, sisi tunanufaika nini na vita hii?
 
Thanks mkuu, ingia kwenye social networks za middle class wa Zambia, Zimbabwe, Namibia, hawa wanajadili kwenye jukwaa lao la kimataifa kuhusu business deals, fursa za kimaisha, michongo ya kuingia kwenye first world, sio upuuzi wetu kujadili hamas vs Israel, sisi tunanufaika nini na vita hii?
😂 😂 😂 Ndio maana wanasiasa watatutawala mpaka siku ya mwisho kwasababu sisi hatujitambui
 

The War’s Just Started, but Benjamin Netanyahu Has Already Lost

1697531965217.png
 
Kuna nchi kama India Rais wa India wengi hatumjui ila tunamjua Modi, waziri mkuu ndie mwenye mamlaka zaidi, Mifumo yao ipo tofauti na serikali yetu
 
Kwa sababu haiingi akilini kabisa ukiona zile video jinsi wanajeshi wa Hamas walivyokuwa wakivuka mipaka ya Israel kwa urahisi utafikiri mtu anaingia chooni
Na sisi wenyewe tunnaoongea sijui mipaka yetu ipoje
 
Thanks mkuu, ingia kwenye social networks za middle class wa Zambia, Zimbabwe, Namibia, hawa wanajadili kwenye jukwaa lao la kimataifa kuhusu business deals, fursa za kimaisha, michongo ya kuingia kwenye first world, sio upuuzi wetu kujadili hamas vs Israel, sisi tunanufaika nini na vita hii?
Ni dhahili kabisa haya mambo kuyajua maan social media hazijaja kuangalia mambo ya kitanzania tu bali kujua dunia inaendaje kiujumla,
 
Back
Top Bottom