Rais wa kamisheni ya Ulaya afika Israel, alaani ugaidi

Rais wa kamisheni ya Ulaya afika Israel, alaani ugaidi

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Bi. Ursula von der Leyen rais wa Kamisheni ya Ulaya European Commission


View: https://m.youtube.com/watch?v=Y8VWXACReew


Atembelea maeneo ya Kfar Azza kusini mwa Israeli katika moja ya Kibbutz yaliyovamiwa na magaidi wa HAMAS, na kuelezea mambo ya kutisha dhidi ya haki ya kuishi waliotendewa wahanga wa uvamizi wa kigaidi.

Rais wa Kamisheni ya Ulaya amesisitiza kuwa kitendo cha magaidi wa HAMAS hakiwezi kuelezewa zaidi ya kutumia maneno sahihi kuwa huu ni ugaidi tu wala sio kitu kingine.

Bi. Ursula von der Leyen aongeza Israel ina haki ya kulinda raia wake kwa kutumia kila njia na kuwa Kamisheni ya Ulaya inasimama pamoja na Israel katika vita dhidi ya ugaidi.


Thank you very much for receiving us here. And indeed, we are friends of Israel. And when a friend is under attack, we have to stand together. We stand by you. It was very important for us to come here today. Thank you very much for hosting us here.

This morning, we have been in the kibbutz Kfar Azza. There are no words to describe what we have seen. The suffering of the people. The atrocious attacks from Hamas. These are acts of war. Therefore, Israel has the right to defend itself. And Israel even has the duty to defend and protect its people.

I fully subscribe to your call on Hamas to release all hostages immediately and to refrain completely from taking civilians as shields, which is what Hamas is constantly doing. Indeed, Hamas is a threat not only to Israel, but Hamas is also a threat to the Palestinian people. Therefore, again, our call, very loud and clear, is to release the hostages and stop taking people as human shields.
 
Hata mimi nalaani ugaidi. Tena wapigwe tu hao 'Wapare' wa Mido Isti maana mtu unaonywa halafu husikii...wapigwe tu - in Pinda's voice.
 
Magaidi yanatakiwa kupingwa na watu wote
 
Back
Top Bottom