Rais wa klabu ya Al Nassr ya nchini Saudi Arabia ajuta kumsajili mshambuliaji Cristiano Ronaldo.

Rais wa klabu ya Al Nassr ya nchini Saudi Arabia ajuta kumsajili mshambuliaji Cristiano Ronaldo.

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Rais wa klabu ya Al Nassr ya nchini Saudi Arabia Bw. Al Muammar amesema anajuta sana kumsajili mshambuliaji Cristiano Ronaldo na anasema kumnunua mchezaji huyo ni moja kati ya matukio mawili ya kitapeli ambayo amewahi kufanyiwa maishani mwake.

Hii imefuatia baada ya klabu ya Al Nassr kutolewa kwenye kombe la ligi nchini Saudi Arabia.

 
Daaah, [emoji23][emoji23] walizoingua sana kumtoa yule mwamba nigger Vincent
 
Sasa Chelsea na sajilizao wasemeje!!
Yaani CR7 pekeyake anawezaje kuibeba timu nzima.
 
Toka mwanzo sikutegemea kama Ronaldo angekaa kule hata mwaka kwa hiyo sishangai.
 
Back
Top Bottom