Rais wa Klabu ya mpira PAOK avamia uwanja akiwa amebeba bastola ili kupinga goli lililokataliwa dakika za lala salama

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337

UGIRIKI: Goli lililokataliwa katika mchezo uliohusisha PAOK dhidi AEK Athens lasababisha Mmiliki wa klabu ya PAOK kuingia Uwanjani mara mbili huku akitoa bastola akitaka kumkabili Mwamuzi wa Mchezo huo, Giorgos Kominis.

> Mchezaji wa PAOK, Fernando Varela alifunga doli hilo kunako dakika ya 89 na refa wa mchezo huo alilikataa na kupelekea matokeo ya mchezo huo kubakia kuwa 0-0

> Kutokana na tukio hilo mchezo huo ulisimama kwa takribani saa 2

UPDATES
Ligi kuu ya soka ya nchini humo imefungwa kwa muda usiojulikana kwa mujibu wa serikali.

Taarifa hiyo imekuja siku moja baada ya Rais wa timu ya PAOK, Ivan Savvidis ambaye ni moja ya watu tajiri nchini humo kuingia uwanjani na bastola kupinga kukataliwa kwa goli la timu yake

Naibu Waziri wa Utamaduni na Michezo, Georgios Vassiliadis alisema kuwa ligi hiyo haitaendelea mpaka kutakapowekwa misingi na sheria na taratibu zitakazokubaliwa na wote


=====
A disallowed goal in the closing stages of a Greek league match sparked anarchy on Sunday night, with an aggrieved club president storming the pitch while appearing to carry a holstered gun.

PAOK chief Ivan Savvidis twice marched onto the field surrounded by bodyguards to remonstrate with referee Giorgos Kominis, after Fernando Varela's 89th minute goal was chalked off against AEK Athens with the score 0-0.

Savvidis wore a holster on his waist containing what appeared to be a revolver, though he did not remove it during the ensuing fracas.

AEK coach Manolo Jimenez claims Savvidis verbally threatened the official, allegedly telling him 'you're finished as a referee'.

The goal was eventually allowed to stand about two hours later according to state television reports, with fans at PAOK's Toumba Stadium unsure of the final result. The league's official website records a final result as a goalless draw.

"We didn't know if he had a gun, then we saw it," AEK'S Jimenez told Cadena SER. "It could be seen that he was moving his hand towards his waist because he had a gun."

He added: "He threatened the referee right in front of me. According to my interpreter, he told him: 'You're finished as a referee'.

"I'm stunned; I don't understand it. It's the type of thing you expect to see in a Clint Eastwood movie."

Savvidis was born in Georgia of Greek heritage and is a former member of the Russian parliament. He has holdings in assets ranging from Thessaloniki port to tobacco and media companies.

PAOK said in a statement: "After what happened today, PAOK chairman Ivan Savvidis is preparing all necessary procedures to protect the team and all his collaborators from the threats and attacks they have been subjected to. There will be relevant announcements on the issue soon."

The Thessaloniki club had seen a three-point deduction overturned less than 24 hours before the game, punishment for crowd trouble that saw a February match against Olympiakos abandoned after their manager was struck on the head by a roll of paper.

"Such extreme phenomena call for bold decisions," said Greece's sports minister Georgios Vassiliadis in a written statement.

"We will not allow anybody to deter us from this path, even if tough decisions are required in consultation with UEFA," Vassiliadis added.

Source: PAOK president invades pitch carrying gun to protest disallowed goal
 
Hahah!! Uzalendo ndio huo sasa
 
Hiki ndio kinachotakiwa. Waamuzi wanajisahau sana siku hizi wanasahau kua mpira ni biashara na watu wamewekeza fedha nyingi huko. Inaumiza sana kama ww ni sehemu ya wawekezaji katika biashara hii ya mpira. Wale wazee wenzangu wa kuweka mzigo najua watakua wananipata vyema.
 
Hata hapa bongo mzee baba si mlimuona amelipeleka paipu lake ili likaguliwe ,sasa taifa stars iwe inacheza na yeye yupo jukwaa kuu alafu lefa alete figisu mzee baba achelewi kulichomoa maana huwa hajalibiwi.
 
Referee ‘shot dead by player he sent off’ during amateur match in Argentina
• César Flores reportedly shot three times, and another player injured
• Police source: ‘The player was angry, fetched a gun and killed him’

Police in Argentina are searching for a footballer who shot and killed a referee after being sent off in a match played in the Córdoba province. Photograph: Dylan Martinez/Reuters
Police in Argentina are searching for a footballer who is said to have shot and killed a referee after being sent off in a match played in the Córdoba province.

According to local reports, the player retrieved a gun from his bag after being shown a red card, returned to the pitch and shot 48-year-old César Flores dead.

A police source told the Efe news agency: “It all happened during the football match. We don’t know [exactly what took place], but it appears the player was angry, fetched a gun and killed him.”

Local reports said Flores was shot three times, in the head, chest and neck, while another player, Walter Zárate, was injured, but is understood to be out of danger.

Authorities in Argentina continue to struggle with violence in football. In June last year a match between Ferro and Tiro Federal was abandoned after a played punched a referee unconscious after being shown a yellow card.

Last month, five players were sent off during a friendly between River Plate and Boca Juniors. The referee Patricio Loustau booked nine others during the game.

Soccer Player Shoots Referee Dead Following Red Card
 
Nasikia ligi imesimamishwa hadi itakapotangazwa vinginevyo.
 
Uzuri mikeka ipo saf kabisa
 
Natamani angekuwepo siku ya man na liva akamfyatua yule refa wa man u shen&*£%si zake
 
Hata hapa bongo mzee baba si mlimuona amelipeleka paipu lake ili likaguliwe ,sasa taifa stars iwe inacheza na yeye yupo jukwaa kuu alafu lefa alete figisu mzee baba achelewi kulichomoa maana huwa hajalibiwi.
We Kijana, hongera kukanidhi mradi wa Bwanga.-Uyovu
 
Watu wame beti nyumba alafu refa analeta utan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…