Media za magharibi walaghai sana, ni lini waliwahi kumpima uzito - wanapenda penda sana kumzulia Kim.
Sasa yeye kawasaidia nini wananchi wakeTungekuwa na rais kama Kim Jong-Un tungekuwa mbali sana kimaendeleo na tungeheshimika duniani na mabeberu yote
Amepoteza mkuuAmepoteza au hajui alikoziweka?
Kwani Korea kaskazn Kuna maendeleo gani zaidi ya njaa tuTungekuwa na rais kama Kim Jong-Un tungekuwa mbali sana kimaendeleo na tungeheshimika duniani na mabeberu yote
Wale wale.....Wewe Aliyekudanganya kuna njaa nani?Kwani Korea kaskazn Kuna maendeleo gani zaidi ya njaa tu
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Pamoja na majanga waliyonayo but kimaendeleo wameziacha mbali sana baadhi ya nchi za africa.Kwani Korea kaskazn Kuna maendeleo gani zaidi ya njaa tu
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
KApichaKatika kile kinachoonekana kama athari za ugonjwa wa kisukari ama matumizi ya teknolojia za AI katika matibabu ya bwana Kim hatimaye ameweza kupungua uzito zaidi ya kilo 40 toka mwanzoni mwa mwaka huu
Ikumbukwe mpaka mwaka 2019 bwana mdogo Kim mwenye umri wa miaka 37 alikuwa na uzito wa zaidi ya kg 140
Teknolojia. Anapimwa tu kwa urefu na volume yake kwa picha kisha uzito unatafutwa.Media za magharibi walaghai sana, ni lini waliwahi kumpima uzito - wanapenda penda sana kumzulia Kim.
Atazikwa Chato aukwadalili hizo Basi mwakani hatunaye
Akili zakuambiwa changanya nazakwako, yan mtu anauwezo wakua nateknolojia kubwa yakurutubisha uranium ikawa atomic bomb, anaminyambiz yakivita halafu mtu mmoja huku vichakan anasema kunanjaa, aweze kurusha maroketi ashindwe teknolojia yakilimo kwanzaKwani Korea kaskazn Kuna maendeleo gani zaidi ya njaa tu
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app