Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
NavipatajeAtakua alikula vile vimbegu vya wamasai vya kuharisha mpk uzito umeshuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NavipatajeAtakua alikula vile vimbegu vya wamasai vya kuharisha mpk uzito umeshuka.
Cheki wamasai wanavyo,Ila utaharisha mpk urudishie puru kwa kidole mzee.Navipataje
Ha haaa,,nimecheka balaa.kilikukuta kituCheki wamasai wanavyo,Ila utaharisha mpk urudishie puru kwa kidole mzee.
Fanya intermittent fasting ndio Tiba hio,hizi nyingine utaharisha tu nakupungukiwa maji mwilini na uzito(water weight) kuonekana umepungua kidogo lkn sio sustainable.
😁😁😁 Wife nilimuambia asitumie hio kitu akadhani Ni utani, kilichomtokea Ni mpk alipokunywa soda ndipo akapata nafuu mkuu.Ha haaa,,nimecheka balaa.kilikukuta kitu
Mbona Nchi yake anashindwa kuiondolea njaa tuuTungekuwa na rais kama Kim Jong-Un tungekuwa mbali sana kimaendeleo na tungeheshimika duniani na mabeberu yote
KAPENDEZAAKatika kile kinachoonekana kama athari za ugonjwa wa kisukari ama matumizi ya teknolojia za AI katika matibabu ya bwana Kim hatimaye ameweza kupungua uzito zaidi ya kilo 40 toka mwanzoni mwa mwaka huu
Ikumbukwe mpaka mwaka 2019 bwana mdogo Kim mwenye umri wa miaka 37 alikuwa na uzito wa zaidi ya kg 140
====