Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamfanya Makonda aingie mkoa unaofuata huku amjipaka matope sasa.View attachment 2899942
Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
Ameacha kupewa misaada ya Chakula kutoka Marekani, Korea ya Kusini na China??View attachment 2899942
Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
Wakiona wataiga kama mbinu ya kuombea kuraJe Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
Yanapenda show off kinoma! Kukagua shamba la mpunga? Lengo ni kujionesha wako karibu na wakulima for their political advantages! Nothing else!Kawaida ya dictators hiyo.
Hizo gaps zinaweza kuondoa uhai wa mtu kwa risasiJe Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
Na juu kavaa nyeupeeee😀😀😀View attachment 2899942
Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
Mradi wa BTT umetushinda😂Kawaida ya dictators hiyo.
Yes. Mhim anakagua food securityView attachment 2899942
Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
Tukipunguza inda tutafika mbali......mlipenda akague kitu gani ili asionekane Ni dictator na asiependa kujionyeshaYanapenda show off kinoma! Kukagua shamba la mpunga? Lengo ni kujionesha wako karibu na wakulima for their political advantages! Nothing else!
Seriously?je wajua ni shart ni amri kila memba wa kaya mwenye umri wa miaka 18 na zaidi ni lazima azalishe 10kgs za mavi kwaajili ya mbolea ya mashamba ya serikali mwamba kaua viwanda vyote vya mbolea budget yote inaelekea kujenga ma nukes
Propaganda za namna hii mara nyingi hutumiwa na Madikteta/Wakomunist Ili KupumbazaView attachment 2899942
Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
Tukipunguza inda tutafika mbali......mlipenda akague kitu gani ili asionekane Ni dictator na asiependa kujionyesha
Propaganda zisitufanye kumchukia mtu tusiekuwa na mahusiano nae wala kushirikiana nae
Hayo Mambo tumuachie Yeye na mahasimu wake
Itakuwa hufuatilii taarifa zake kutokana na inda uliyonayo juu yake mara nyingi huonyeshwa akiwa kwenye ukaguzi wenye hightech industry .......Hilo la majarubani Ni geni na.ndo Maana limekwenda hewani kwa kasiKagua viwanda vikubwa na miradi ya maana, sio mashamba ya mpunga