Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
😅Mradi wa BTT umetushinda😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅Mradi wa BTT umetushinda😂
Sijaona kitu kigumu hapa. Nlidhani kuna issue ya maana au ngumu kwa Kiongozi mwingine kufanya. Hii ya maigizo ni kawaida sana.View attachment 2899942
Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
Kila jamii na vipaombele vyake, kama kwetu umuhimu ni viwanda vikubwa kwao ni mashamba ya mpunga.Kagua viwanda vikubwa na miradi ya maana, sio mashamba ya mpunga
Na propaganda za wademokrasia ni kucheza na watoto white house au kula kwa mama lishePropaganda za namna hii mara nyingi hutumiwa na Madikteta/Wakomunist Ili Kupumbaza
Hitler, Sokoine, Kagame, Saddam, Magufuli walitengeneza comedy za namna hii kujifanya wako karibu sana na Wananchi wa chini
Ccm wameona umuhimu wa hilo na ndio maana unaona Makonda yuko onboard
amin kwamba , mkuuSeriously?