Rais wa Liberia aunda Kikosi cha Kudhibiti Rushwa na kurejesha Mali zilizoibwa Serikalini

Rais wa Liberia aunda Kikosi cha Kudhibiti Rushwa na kurejesha Mali zilizoibwa Serikalini

Mkuu kauli yako inachoma sana Moyoni maana ni zaidi ya maumivu kwa bara letu, wenyewe hatuwezi kulitetea mpaka jamaa wanatushangaa.
Iwapo kama waandishi wa habari, wanaharakati, na wananchi wengi watataka lifanyike linawezekana kwa pamoja
Lakini kwa mtu mmoja haliwezekani
Magu alijitahidi kiasi chake pindi alipoanza tu kazi lakini wote walikuwa upande mwingine
Wa kubadilika ni sisi wenyewe mkuu hakuna atakaetubadili
Huyo watamuona kama anaziba riziki zao tu
 
Nzuri Sana, Tanzania na Sisi tuige huo mfumo..!
Japo wakubwa najua hawata ukubali..!
In future utasaidia kuleta heshima Kwa Mali za umma.
 
Iwapo kama waandishi wa habari, wanaharakati, na wananchi wengi watataka lifanyike linawezekana kwa pamoja
Lakini kwa mtu mmoja haliwezekani
Magu alijitahidi kiasi chake pindi alipoanza tu kazi lakini wote walikuwa upande mwingine
Wa kubadilika ni sisi wenyewe mkuu hakuna atakaetubadili
Huyo watamuona kama anaziba riziki zao tu
Ni kweli kabisa usemalo.
 
Back
Top Bottom