TANZIA Rais wa Mali aliyetolewa kwa nguvu Madarakani afariki dunia

TANZIA Rais wa Mali aliyetolewa kwa nguvu Madarakani afariki dunia

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1642393441352.png

Picha: Hayati Ibrahim Boubacar Keita

Rais wa Mali aliyetolewa kwa nguvu Madarakani Ibrahim Boubacar Keita (76) amefariki dunia katika mji mkuu wa nchi hiyo Bamako.

Chanzo cha kifo chake hakijatajwa ingawa miaka miwili iliyopita alipatwa na shinikizo la moyo.

Rais huyo aliliongoza Mali kwa miaka 7 mpaka mwaka 2020 alipotolewa kwa nguvu na Mapinduzi yaliyotokana na maandamano ya kuipinga Serikali yake.

Pia soma
- Mali: Wanajeshi Wanamshikilia Rais, Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Nchi hiyo
===


BAMAKO, Jan 16 (Reuters) - Former Malian president Ibrahim Boubacar Keita, who was ousted by the military in 2020 after a turbulent seven-year rule, has died, officials said on Sunday. He was 76.

Known by his initials IBK, Keita ran the West African country from September 2013 until August 2020, during which Islamist insurgents overran large areas and ethnic violence flared.

Disputed legislative elections, rumours of corruption and low economic growth also fuelled public anger and drew tens of thousands onto the streets of the capital Bamako in 2020 to demand his resignation.

He was eventually forced out by a military coup, whose leaders remain in charge despite strong international objections.

The interim government issued a statement on Sunday that read: "The government of Mali and the Malian people salute the memory of the illustrious deceased."

Leaders from the region including Senegalese President Macky Sall and Burkina Faso's president, Roch Kabore, sent condolences.

The cause of death was not immediately clear. A former adviser said Keita, who frequently travelled abroad for medical attention, had died at home in Bamako.

He was detained and put under house arrest during the coup, but those restrictions were lifted amid pressure from the West African political bloc ECOWAS.

Known for his white flowing robes and a tendency to slur his words, Keita came to power in a resounding election victory in 2013. He vowed to take on the corruption that had eroded support for his predecessor Amadou Toumani Toure, also toppled in a coup.

Source: Reuters
 
Apumzike Kwa Amani.
Alale salama
Hivi mlishawahi kukaa kwa utulivu na kutafakari maana ya hii salama kwa wafu? Hivi unaweza kufafanua, japo sentimita mbili tu, maana ya ^kulala salama^ au ^kupumzika kwa amani^?

It's a though we still believe wanaegzisti hadi sasa wakiwa mahali fulani hivi huko. WHY? WHY? WHY? This is unbelievably flabbergasting!
 
Rais wa Mali aliyependuliwa madarakani aaga dunia

Rais wa Mali aliyeondolea madarakani Ibrahim Boubacar Keita amefariki akiwa na umri wa miaka 76 , familia yake na rafiki zake wamesema.

Miaka miwili iliopita aliugua kiharusilakini chanzo cha kifo chake siku ya Jumapili hakikuweka wazi.

Alifariki mwendo wa saa tatu saa za Uingereza nyumbani kwake mjini Bamako , mmoja wa ndugu yake aliambia chombo cha Habari cha AFP.

Bwana Keitaaliiongoza Mali kwa miaka saba hadi 2020, wakati alipopinduliwa kufuatia maandamano makubwa dhidi ya serikali kutokana na jinsi alivyolishughulikia suala la Wanajihad.

Mgogoro wa kiuchumi na uchaguzi ulio huru pia ulisababisha maandamano hayo dhidi ya utawala wake.

Bwana Keitaalihusika katika siasa kwa zaidi ya miongo mitatu, akihudumu kama waziri mkuu kutoka 1994 hadi 2000.
 
Hivi mlishawahi kukaa kwa utulivu na kutafakari maana ya hii salama kwa wafu? Hivi unaweza kufafanua, japo sentimita mbili tu, maana ya ^kulala salama^ au ^kupumzika kwa amani^?

It's a though we still believe wanaegzisti hadi sasa wakiwa mahali fulani hivi huko. WHY? WHY? WHY? This is unbelievably flabbergasting!

Kulala salama ni kwamba aende kabisa kiroho na kimwili maana yale ya ulimwengu huu ashayamaliza na kitabu chake kimefungwa
 
Back
Top Bottom