Rais wa Marekani anapatikana kwa kura za wananchi, sio deep state

Rais wa Marekani anapatikana kwa kura za wananchi, sio deep state

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Kuna uzushi mwingi wa vijiweni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana na deep state na kwamba kuna kikundi kidogo cha watu sirini wanamteua raisi. Hii sio kweli.
Raisi wa MAREKANI anapatikana kwa kura za Wananchi. Ndiyo maana wagombea wanafanya campaign ili wapigiwe kura
Utofauti na huku kwetu ni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana kwa njia ya points (electoral votes).

Jimbo husika linapewa points (electoral votes) na mgombea atakaeshinda kura za Jimbo husika anapewa tu point zote za jimbo husika. Na majimbo yana point tofauti Tofauti. Majimbo yenye idadi kubwa ya watu yana point nyingi na idadi ndogo yamepewa point chache.

Kuna mfanano Fulani na mpira wa mguu ( soccer) . Team inaweza shinda magoli mengi lakini point ni 3. Na team ikashinda goli moja bado point zikawa zilezile 3.

Sasa kwenye mpira team inaweza pia ikachukuwa Ubingwa labda wa ligi kwa magoli machache ikiwa ili maintain ushindi kwa kila mechi japo mwembamba. Team vilevile inaweza ikapoteza Ubingwa licha ya kuwa na magoli mengi kwenye ligi iwapo haikumantain ushindi kwa kila mechi licha ya kufunga magoli mengi kwenye mechi zake za ushindi

Kwa mfano, team A imecheza mechi 10 na zote imeshinda kwa magoli jumla 13, point 30

Team B imecheza mechi 10, imeshinda mechi 7 na kufungwa mechi tatu lakini mechi zake za ushindi ilikuwa inafunga 4, 3, 5, 4 hatimaye kupata magoli mengi na point chache. Team B licha ya kuwa na magoli mengi imepoteza Ubingwa kwa sababu mshindi anapatikana kwa point.

Uchaguzi wa MAREKANI umefanana Sana na huo mfano.
Mgombea anaweza kupata kura majimbo yenye idadi kubwa ya wapiga kura, lakini yakawa majimbo machache, Uwezekano wa kukosa uraisi unakuwa mkubwa. Inatakiwa kwenye majimbo 50 (50 states) U maintain ushindi kwenye majimbo mengi bila kusahau majimbo yenye point nyingi kama Ohio, California, Texas nk. Ukiweza hilo unazoa point nyingi (electoral votes) hatimaye kuibuka mshindi.

Mwaka 2016, Hillary Clinton alipata kura nyingi za Wananchi kwa sababu Alishinda tu majimbo yaliyo machache yenye idadi kubwa ya wapiga kura bila kuzingatia kupata ushindi wa majimbo mengi. Ni sawa na team imecheza mechi 10, ushindi mechi 7, kufungwa 3 lakini ushindi wako ulikuwa na magoli mengi. Ilikuwa unafunga 5, 4, 3, nk.
Mwingine ameshinda mechi zote lakini kwa goli moja, mbili wastani. Kwa sababu ana mechi nyingi za ushindi, atakuwa bingwa.
Kwa hiyo kuna Mambo mengi ya kuzingatia ili mgombea ashinde uchaguzi wa uraisi MAREKANI
 
kuna makundi matatu yenye kuchagia kwa kiasi kikubwa kupatikana Rais

INTERCHANGABLES - hawa ni watu wote wanaoweza kupiga kura, ilimradi uwe na miaka 18 au zaidi na sifa za kupiga kura, kundi hili lina nguvu zaidi panapokuwa na uchaguzi wa huru, pia ni rahisi wao kuhama upande.

INFLUENTIALS- hawa ni watu ndani ya chama wanaokupitisha uwe rais, interchangables hawawezi.

Winning coalotion - Ni kakundi kadogo kenye nguvu kubwa mno kwenye kuchangia rais aliepitishwa na chama chake (Influentials) ashike madarakani, kuna viongozi wa jeshi wakifunua tu mdomo tuna imani zaidi na flani inaleta impact kubwa, watu maarufu zaidi kwenye historia ya siasa za nchi, donors wachangiaji wa kampeni, tume ya uchaguzi, watu wenye nguvu kubwa wanaoenda kunufaika / kuumizwa na sera za rais, n.k.

Kwa Marekani ya sasa Trump ana winning coalition ya watu wenye nguvu kama Elon Musk na vyombo vya ulinzi, Kamala Harris ilibidi awe na winning coalition kwenye vyombo vya habari lakini mipango imeharibika baada ya Elon Musk kuinunua twitter ambayo inaaminika zaidi kwenye maoni ya kisiasa kuzidi mitandao mingine.
 
1725811973113.png
 
Kuna uzushi mwingi wa vijiweni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana na deep state na kwamba kuna kikundi kidogo cha watu sirini wanamteua raisi. Hii sio kweli.
Raisi wa MAREKANI anapatikana kwa kura za Wananchi. Ndiyo maana wagombea wanafanya campaign ili wapigiwe kura
Utofauti na huku kwetu ni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana kwa njia ya points (electoral votes).

Jimbo husika linapewa points (electoral votes) na mgombea atakaeshinda kura za Jimbo husika anapewa tu point zote za jimbo husika. Na majimbo yana point tofauti Tofauti. Majimbo yenye idadi kubwa ya watu yana point nyingi na idadi ndogo yamepewa point chache.

Kuna mfanano Fulani na mpira wa mguu ( soccer) . Team inaweza shinda magoli mengi lakini point ni 3. Na team ikashinda goli moja bado point zikawa zilezile 3.

Sasa kwenye mpira team inaweza pia ikachukuwa Ubingwa labda wa ligi kwa magoli machache ikiwa ili maintain ushindi kwa kila mechi japo mwembamba. Team vilevile inaweza ikapoteza Ubingwa licha ya kuwa na magoli mengi kwenye ligi iwapo haikumantain ushindi kwa kila mechi licha ya kufunga magoli mengi kwenye mechi zake za ushindi

Kwa mfano, team A imecheza mechi 10 na zote imeshinda kwa magoli jumla 13, point 30

Team B imecheza mechi 10, imeshinda mechi 7 na kufungwa mechi tatu lakini mechi zake za ushindi ilikuwa inafunga 4, 3, 5, 4 hatimaye kupata magoli mengi na point chache. Team B licha ya kuwa na magoli mengi imepoteza Ubingwa kwa sababu mshindi anapatikana kwa point.

Uchaguzi wa MAREKANI umefanana Sana na huo mfano.
Mgombea anaweza kupata kura majimbo yenye idadi kubwa ya wapiga kura, lakini yakawa majimbo machache, Uwezekano wa kukosa uraisi unakuwa mkubwa. Inatakiwa kwenye majimbo 50 (50 states) U maintain ushindi kwenye majimbo mengi bila kusahau majimbo yenye point nyingi kama Ohio, California, Texas nk. Ukiweza hilo unazoa point nyingi (electoral votes) hatimaye kuibuka mshindi.

Mwaka 2016, Hillary Clinton alipata kura nyingi za Wananchi kwa sababu Alishinda tu majimbo yaliyo machache yenye idadi kubwa ya wapiga kura bila kuzingatia kupata ushindi wa majimbo mengi. Ni sawa na team imecheza mechi 10, ushindi mechi 7, kufungwa 3 lakini ushindi wako ulikuwa na magoli mengi. Ilikuwa unafunga 5, 4, 3, nk.
Mwingine ameshinda mechi zote lakini kwa goli moja, mbili wastani. Kwa sababu ana mechi nyingi za ushindi, atakuwa bingwa.
Kwa hiyo kuna Mambo mengi ya kuzingatia ili mgombea ashinde uchaguzi wa uraisi MAREKANI
Who told you?
 
kuna makundi matatu yenye kuchagia kwa kiasi kikubwa kupatikana Rais

INTERCHANGABLES - hawa ni watu wote wanaoweza kupiga kura, ilimradi uwe na miaka 18 au zaidi na sifa za kupiga kura, kundi hili lina nguvu zaidi panapokuwa na uchaguzi wa huru, pia ni rahisi wao kuhama upande.

INFLUENTIALS- hawa ni watu ndani ya chama wanaokupitisha uwe rais, interchangables hawawezi.

Winning coalotion - Ni kakundi kadogo kenye nguvu kubwa mno kwenye kuchangia rais aliepitishwa na chama chake (Influentials) ashike madarakani, kuna viongozi wa jeshi wakifunua tu mdomo tuna imani zaidi na flani inaleta impact kubwa, watu maarufu zaidi kwenye historia ya siasa za nchi, donors wachangiaji wa kampeni, tume ya uchaguzi, watu wenye nguvu kubwa wanaoenda kunufaika / kuumizwa na sera za rais, n.k.

Kwa Marekani ya sasa Trump ana winning coalition ya watu wenye nguvu kama Elon Musk na vyombo vya ulinzi, Kamala Harris ilibidi awe na winning coalition kwenye vyombo vya habari lakini mipango imeharibika baada ya Elon Musk kuinunua twitter ambayo inaaminika zaidi kwenye maoni ya kisiasa kuzidi mitandao mingine.
Hizo ulizoandika ni strategies kwa wagombea, ni sababu za kufikirika katika kujenga kukubalika kwa wapiga kura kuliko uhalisia wa matokeo. Matokeo ya uchaguzi kwa 100% yanategemea wapiga kura wataamuaje.
 
unapoona chakula kimeiva jua kuna mpishi aliepika!,usihadaike na mambo ya marekani wale hawa bet majibu yote huja sawasawa! ushawahi kujiuliza kwanini vyama vinavyoleta marais wao ni viwili tu..? yani wale jamaa swali ni moja halafu multiple choices ni mbili zenye jibu moja so hakuna kukosea.
 
kuna makundi matatu yenye kuchagia kwa kiasi kikubwa kupatikana Rais

INTERCHANGABLES - hawa ni watu wote wanaoweza kupiga kura, ilimradi uwe na miaka 18 au zaidi na sifa za kupiga kura, kundi hili lina nguvu zaidi panapokuwa na uchaguzi wa huru, pia ni rahisi wao kuhama upande.

INFLUENTIALS- hawa ni watu ndani ya chama wanaokupitisha uwe rais, interchangables hawawezi.

Winning coalotion - Ni kakundi kadogo kenye nguvu kubwa mno kwenye kuchangia rais aliepitishwa na chama chake (Influentials) ashike madarakani, kuna viongozi wa jeshi wakifunua tu mdomo tuna imani zaidi na flani inaleta impact kubwa, watu maarufu zaidi kwenye historia ya siasa za nchi, donors wachangiaji wa kampeni, tume ya uchaguzi, watu wenye nguvu kubwa wanaoenda kunufaika / kuumizwa na sera za rais, n.k.

Kwa Marekani ya sasa Trump ana winning coalition ya watu wenye nguvu kama Elon Musk na vyombo vya ulinzi, Kamala Harris ilibidi awe na winning coalition kwenye vyombo vya habari lakini mipango imeharibika baada ya Elon Musk kuinunua twitter ambayo inaaminika zaidi kwenye maoni ya kisiasa kuzidi mitandao mingine.
Huu ni mfano mzuri sana kwa wale vilaza wanaosema Marekani mgombea anachaguliwa na kikundia cha watu wachache tu.
 
Kuna uzushi mwingi wa vijiweni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana na deep state na kwamba kuna kikundi kidogo cha watu sirini wanamteua raisi. Hii sio kweli.
Raisi wa MAREKANI anapatikana kwa kura za Wananchi. Ndiyo maana wagombea wanafanya campaign ili wapigiwe kura
Utofauti na huku kwetu ni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana kwa njia ya points (electoral votes).

Jimbo husika linapewa points (electoral votes) na mgombea atakaeshinda kura za Jimbo husika anapewa tu point zote za jimbo husika. Na majimbo yana point tofauti Tofauti. Majimbo yenye idadi kubwa ya watu yana point nyingi na idadi ndogo yamepewa point chache.

Kuna mfanano Fulani na mpira wa mguu ( soccer) . Team inaweza shinda magoli mengi lakini point ni 3. Na team ikashinda goli moja bado point zikawa zilezile 3.

Sasa kwenye mpira team inaweza pia ikachukuwa Ubingwa labda wa ligi kwa magoli machache ikiwa ili maintain ushindi kwa kila mechi japo mwembamba. Team vilevile inaweza ikapoteza Ubingwa licha ya kuwa na magoli mengi kwenye ligi iwapo haikumantain ushindi kwa kila mechi licha ya kufunga magoli mengi kwenye mechi zake za ushindi

Kwa mfano, team A imecheza mechi 10 na zote imeshinda kwa magoli jumla 13, point 30

Team B imecheza mechi 10, imeshinda mechi 7 na kufungwa mechi tatu lakini mechi zake za ushindi ilikuwa inafunga 4, 3, 5, 4 hatimaye kupata magoli mengi na point chache. Team B licha ya kuwa na magoli mengi imepoteza Ubingwa kwa sababu mshindi anapatikana kwa point.

Uchaguzi wa MAREKANI umefanana Sana na huo mfano.
Mgombea anaweza kupata kura majimbo yenye idadi kubwa ya wapiga kura, lakini yakawa majimbo machache, Uwezekano wa kukosa uraisi unakuwa mkubwa. Inatakiwa kwenye majimbo 50 (50 states) U maintain ushindi kwenye majimbo mengi bila kusahau majimbo yenye point nyingi kama Ohio, California, Texas nk. Ukiweza hilo unazoa point nyingi (electoral votes) hatimaye kuibuka mshindi.

Mwaka 2016, Hillary Clinton alipata kura nyingi za Wananchi kwa sababu Alishinda tu majimbo yaliyo machache yenye idadi kubwa ya wapiga kura bila kuzingatia kupata ushindi wa majimbo mengi. Ni sawa na team imecheza mechi 10, ushindi mechi 7, kufungwa 3 lakini ushindi wako ulikuwa na magoli mengi. Ilikuwa unafunga 5, 4, 3, nk.
Mwingine ameshinda mechi zote lakini kwa goli moja, mbili wastani. Kwa sababu ana mechi nyingi za ushindi, atakuwa bingwa.
Kwa hiyo kuna Mambo mengi ya kuzingatia ili mgombea ashinde uchaguzi wa uraisi MAREKANI
Kumbe ndiyo ipo hivyo? Kwahiyo hii ipo wazi kabisa na kujulikana na Wamarekani au ni siri? Unajua hadi waandishi wa habari wa kimataifa hawalijui hili!
 
Kumbe ndiyo ipo hivyo? Kwahiyo hii ipo wazi kabisa na kujulikana na Wamarekani au ni siri? Unajua hadi waandishi wa habari wa kimataifa hawalijui hili!
Lipo wazi kabisa, linajulikana na wamarekani. Waandishi wote wanajua hilo
 
Kuna uzushi mwingi wa vijiweni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana na deep state na kwamba kuna kikundi kidogo cha watu sirini wanamteua raisi. Hii sio kweli.
Raisi wa MAREKANI anapatikana kwa kura za Wananchi. Ndiyo maana wagombea wanafanya campaign ili wapigiwe kura
Utofauti na huku kwetu ni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana kwa njia ya points (electoral votes).

Jimbo husika linapewa points (electoral votes) na mgombea atakaeshinda kura za Jimbo husika anapewa tu point zote za jimbo husika. Na majimbo yana point tofauti Tofauti. Majimbo yenye idadi kubwa ya watu yana point nyingi na idadi ndogo yamepewa point chache.

Kuna mfanano Fulani na mpira wa mguu ( soccer) . Team inaweza shinda magoli mengi lakini point ni 3. Na team ikashinda goli moja bado point zikawa zilezile 3.

Sasa kwenye mpira team inaweza pia ikachukuwa Ubingwa labda wa ligi kwa magoli machache ikiwa ili maintain ushindi kwa kila mechi japo mwembamba. Team vilevile inaweza ikapoteza Ubingwa licha ya kuwa na magoli mengi kwenye ligi iwapo haikumantain ushindi kwa kila mechi licha ya kufunga magoli mengi kwenye mechi zake za ushindi

Kwa mfano, team A imecheza mechi 10 na zote imeshinda kwa magoli jumla 13, point 30

Team B imecheza mechi 10, imeshinda mechi 7 na kufungwa mechi tatu lakini mechi zake za ushindi ilikuwa inafunga 4, 3, 5, 4 hatimaye kupata magoli mengi na point chache. Team B licha ya kuwa na magoli mengi imepoteza Ubingwa kwa sababu mshindi anapatikana kwa point.

Uchaguzi wa MAREKANI umefanana Sana na huo mfano.
Mgombea anaweza kupata kura majimbo yenye idadi kubwa ya wapiga kura, lakini yakawa majimbo machache, Uwezekano wa kukosa uraisi unakuwa mkubwa. Inatakiwa kwenye majimbo 50 (50 states) U maintain ushindi kwenye majimbo mengi bila kusahau majimbo yenye point nyingi kama Ohio, California, Texas nk. Ukiweza hilo unazoa point nyingi (electoral votes) hatimaye kuibuka mshindi.

Mwaka 2016, Hillary Clinton alipata kura nyingi za Wananchi kwa sababu Alishinda tu majimbo yaliyo machache yenye idadi kubwa ya wapiga kura bila kuzingatia kupata ushindi wa majimbo mengi. Ni sawa na team imecheza mechi 10, ushindi mechi 7, kufungwa 3 lakini ushindi wako ulikuwa na magoli mengi. Ilikuwa unafunga 5, 4, 3, nk.
Mwingine ameshinda mechi zote lakini kwa goli moja, mbili wastani. Kwa sababu ana mechi nyingi za ushindi, atakuwa bingwa.
Kwa hiyo kuna Mambo mengi ya kuzingatia ili mgombea ashinde uchaguzi wa uraisi MAREKANI
Mathanzua
 
Katika uchaguzi wa Rais wa Marekani, kuna aina mbili za kura zinazotumika: kura za wananchi (popular votes) na kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi (electoral votes).

1. Kura za Wananchi (Popular Votes):
  • Hizi ni kura zinazopigwa na wananchi wa Marekani katika kila jimbo.
  • Kura hizi zinaamua kiasi gani cha kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi atakavyopewa mgombea katika kila jimbo.
  • Katika majimbo mengi, mgombea anayepata kura nyingi zaidi katika jimbo anapata zote au sehemu kubwa ya kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi za jimbo hilo (sawa na mfumo wa "winner-takes-all").

2. Kura za Wajumbe wa Baraza la Uchaguzi (Electoral Votes):
  • Kura hizi zinatolewa na wajumbe wa baraza la uchaguzi, ambao wana idadi maalum kulingana na ukubwa wa jimbo (idadi ya wajumbe inategemea idadi ya wawakilishi wa jimbo katika Bunge la Marekani).
  • Jumla ya kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi ni 538. Ili kushinda urais, mgombea anahitaji kupata angalau kura 270.

Nguvu ya Kura:
  • Kura za Wajumbe wa Baraza la Uchaguzi ndio zinazoamua mshindi wa urais. Hii ni kwa sababu mfumo wa uchaguzi wa Marekani umeundwa ili mgombea apate kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi, si kura za wananchi moja kwa moja.
  • Hivyo, ingawa kura za wananchi zina umuhimu mkubwa katika kuonyesha mapenzi ya umma, mshindi wa urais anatambulika kwa kupata kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi.

Mfumo huu ulianzishwa kwa sababu ya maelezo ya kihistoria na kikatiba, kwa lengo la kuzingatia usawa kati ya majimbo yenye idadi kubwa na ndogo ya watu, na kuhakikisha kwamba majimbo yote yanajumuishwa katika mchakato wa uchaguzi


Credit

IA
 
Katika uchaguzi wa Rais wa Marekani, kuna aina mbili za kura zinazotumika: kura za wananchi (popular votes) na kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi (electoral votes).

1. Kura za Wananchi (Popular Votes):
  • Hizi ni kura zinazopigwa na wananchi wa Marekani katika kila jimbo.
  • Kura hizi zinaamua kiasi gani cha kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi atakavyopewa mgombea katika kila jimbo.
  • Katika majimbo mengi, mgombea anayepata kura nyingi zaidi katika jimbo anapata zote au sehemu kubwa ya kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi za jimbo hilo (sawa na mfumo wa "winner-takes-all").

2. Kura za Wajumbe wa Baraza la Uchaguzi (Electoral Votes):
  • Kura hizi zinatolewa na wajumbe wa baraza la uchaguzi, ambao wana idadi maalum kulingana na ukubwa wa jimbo (idadi ya wajumbe inategemea idadi ya wawakilishi wa jimbo katika Bunge la Marekani).
  • Jumla ya kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi ni 538. Ili kushinda urais, mgombea anahitaji kupata angalau kura 270.

Nguvu ya Kura:
  • Kura za Wajumbe wa Baraza la Uchaguzi ndio zinazoamua mshindi wa urais. Hii ni kwa sababu mfumo wa uchaguzi wa Marekani umeundwa ili mgombea apate kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi, si kura za wananchi moja kwa moja.
  • Hivyo, ingawa kura za wananchi zina umuhimu mkubwa katika kuonyesha mapenzi ya umma, mshindi wa urais anatambulika kwa kupata kura za wajumbe wa baraza la uchaguzi.

Mfumo huu ulianzishwa kwa sababu ya maelezo ya kihistoria na kikatiba, kwa lengo la kuzingatia usawa kati ya majimbo yenye idadi kubwa na ndogo ya watu, na kuhakikisha kwamba majimbo yote yanajumuishwa katika mchakato wa uchaguzi


Credit

IA
Hujaeleweka boss.
Hizi Aina mbili zinafanyaje Kazi ili mgombea awe Raisi.
 
Kuna uzushi mwingi wa vijiweni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana na deep state na kwamba kuna kikundi kidogo cha watu sirini wanamteua raisi. Hii sio kweli.
Raisi wa MAREKANI anapatikana kwa kura za Wananchi. Ndiyo maana wagombea wanafanya campaign ili wapigiwe kura
Utofauti na huku kwetu ni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana kwa njia ya points (electoral votes).

Jimbo husika linapewa points (electoral votes) na mgombea atakaeshinda kura za Jimbo husika anapewa tu point zote za jimbo husika. Na majimbo yana point tofauti Tofauti. Majimbo yenye idadi kubwa ya watu yana point nyingi na idadi ndogo yamepewa point chache.

Kuna mfanano Fulani na mpira wa mguu ( soccer) . Team inaweza shinda magoli mengi lakini point ni 3. Na team ikashinda goli moja bado point zikawa zilezile 3.

Sasa kwenye mpira team inaweza pia ikachukuwa Ubingwa labda wa ligi kwa magoli machache ikiwa ili maintain ushindi kwa kila mechi japo mwembamba. Team vilevile inaweza ikapoteza Ubingwa licha ya kuwa na magoli mengi kwenye ligi iwapo haikumantain ushindi kwa kila mechi licha ya kufunga magoli mengi kwenye mechi zake za ushindi

Kwa mfano, team A imecheza mechi 10 na zote imeshinda kwa magoli jumla 13, point 30

Team B imecheza mechi 10, imeshinda mechi 7 na kufungwa mechi tatu lakini mechi zake za ushindi ilikuwa inafunga 4, 3, 5, 4 hatimaye kupata magoli mengi na point chache. Team B licha ya kuwa na magoli mengi imepoteza Ubingwa kwa sababu mshindi anapatikana kwa point.

Uchaguzi wa MAREKANI umefanana Sana na huo mfano.
Mgombea anaweza kupata kura majimbo yenye idadi kubwa ya wapiga kura, lakini yakawa majimbo machache, Uwezekano wa kukosa uraisi unakuwa mkubwa. Inatakiwa kwenye majimbo 50 (50 states) U maintain ushindi kwenye majimbo mengi bila kusahau majimbo yenye point nyingi kama Ohio, California, Texas nk. Ukiweza hilo unazoa point nyingi (electoral votes) hatimaye kuibuka mshindi.

Mwaka 2016, Hillary Clinton alipata kura nyingi za Wananchi kwa sababu Alishinda tu majimbo yaliyo machache yenye idadi kubwa ya wapiga kura bila kuzingatia kupata ushindi wa majimbo mengi. Ni sawa na team imecheza mechi 10, ushindi mechi 7, kufungwa 3 lakini ushindi wako ulikuwa na magoli mengi. Ilikuwa unafunga 5, 4, 3, nk.
Mwingine ameshinda mechi zote lakini kwa goli moja, mbili wastani. Kwa sababu ana mechi nyingi za ushindi, atakuwa bingwa.
Kwa hiyo kuna Mambo mengi ya kuzingatia ili mgombea ashinde uchaguzi wa uraisi MAREKANI
Sasa unafananisha raia wa malengani na sisi walevi wa ulanzi kweli uko serious.
 
Back
Top Bottom