Rais wa Marekani asalimia hewa tupu

Rais wa Marekani asalimia hewa tupu

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Katika hali ya kustaabisha rais wa Marekani bwana Joe Biden ameonekana akimpatia mkono mtu asiyeonekana punde tu baada ya kumaliza kutoa hotuba yake.

Inadaiwa hiyo sio mara yake ya kwanza kufanya tukio hilo mbele ya kamera.Hata hivyo tukio hili halijawashangaza sana watu kwani rais huyo wa taifa lenye nguvu kabisa Duniani ambae amewahi kijiita ghaffe machine amewahi kufanya vituko vingine vingi kama vile kusinzia kwenye mikutano na vikao,kumtambulisha makamu wake kama rais au first lady,kusahau mlango wa kuingilia ofisini kwake na vijimatukio vingine ambavyo vinahusishwa zaidi na uzee kumzidi nguvu

Hii ingefanywa na rais wetu lazima wazee wa kilingeni kina Mshana Jr wangelihusisha na ndumba kama walivyolihusisha tukio la hayati JPM kule Ruangwa na ushirikina
 
Kule Ukraine wakulima wanajinyakulia vifaru vya Warusi, sijui wanakwenda kuvitumia kwenye kufanyia kazi ipi

main-qimg-f3183df1c45ed69cae10d6e471878a05-lq
 
Taifa kubwa kama U.S lazima liongozwe na masonic. Watawala wa hii dunia (mashetani) hawawezi kumwacha kiranja wa dunia hivihivi. Dizaini D. Trump alikuwa akijitahidi kuwakwepakwepa ila waaapi ...

unajua wengi hawajui ni kwanini shetani huwa anaitwa "mkuu wa ulimwengu huu" au "mungu wa dunia hii" 2Kor 4:4


JESUS IS LORD
 
Sema babu vyombo vya habari vinambeba sana sijui kwa nini?
 
Back
Top Bottom