Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,995
Vingi vinamilikiwa na Democrats, ndo maana Trump anawapigaga spana kina CNNSema babu vyombo vya habari vinambeba sana sijui kwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vingi vinamilikiwa na Democrats, ndo maana Trump anawapigaga spana kina CNNSema babu vyombo vya habari vinambeba sana sijui kwa nini?
KISIWAGA tukio la Ruangwa lilikuwa ni ushikina kwa asilimia 100 na hata baadhi ya matendo ya Biden ni aina ya ushirikina wa huko kwao
Huyo ni Marehemu zaidi ya karne sasa, hawezi kuwepo hapo.Abraham Lincoln anaonekana sana White House kwani ni Haunted House na ushuhuda upo
Inawezekana alikuwa anasalimiana nae
Huyo ni Marehemu zaidi ya karne sasa, hawezi kuwepo hapo.
Hivi hawawezi kumtoa kazini Biden kwa ugonjwa wa Dementia?
Kuhusu White House kuwa haunted wameliongelea sana na kuhusu Lincoln Kweli ni zamani ila mizimu yake bado ipo
Hii picha akionekana nyuma
Sijui niamini au View attachment 2192423
Hawa jamaa wanadhani sisi wapumbavu kiasi Cha kutaka kutuaminisha upuuzi huo🤔,waliyotulaghai kuhusu uwepo wa Mungu mmoja ulimwengu mzima INATOSHA SASA.
Kama bongo tuuu,matumizi mabaya ya rasmali.Massey furgason zinatumika kusomba taka badara ya kulima mashamba.So taka zinalipa zaidi kuliko kilimoKule Ukraine wakulima wanajinyakulia vifaru vya Warusi, sijui wanakwenda kuvitumia kwenye kufanyia kazi ipi
![]()
Kwanini aonekane Lincoln tu na si kina George Washington au kina John KennedyAbraham Lincoln anaonekana sana White House kwani ni Haunted House na ushuhuda upo
Inawezekana alikuwa anasalimiana nae
Swali zuri Sana hili...Kwanini aonekane Lincoln tu na si kina George Washington au kina John Kennedy
Tupia video ya tukio basi..Katika hali ya kustaabisha rais wa Marekani bwana Joe Biden ameonekana akimpatia mkono mtu asiyeonekana punde tu baada ya kumaliza kutoa hotuba yake.
Inadaiwa hiyo sio mara yake ya kwanza kufanya tukio hilo mbele ya kamera.Hata hivyo tukio hili halijawashangaza sana watu kwani rais huyo wa taifa lenye nguvu kabisa Duniani ambae amewahi kijiita ghaffe machine amewahi kufanya vituko vingine vingi kama vile kusinzia kwenye mikutano na vikao,kumtambulisha makamu wake kama rais au first lady,kusahau mlango wa kuingilia ofisini kwake na vijimatukio vingine ambavyo vinahusishwa zaidi na uzee kumzidi nguvu
Hii ingefanywa na rais wetu lazima wazee wa kilingeni kina Mshana Jr wangelihusisha na ndumba kama walivyolihusisha tukio la hayati JPM kule Ruangwa na ushirikina
Kwanini aonekane Lincoln tu na si kina George Washington au kina John Kennedy
Hewapicha ya nani Biden au hewa ?
wewe unaona hakuna mtu kumbe mwenzako alikuwa anampungia mkono marehemu mke wakeKatika hali ya kustaabisha rais wa Marekani bwana Joe Biden ameonekana akimpatia mkono mtu asiyeonekana punde tu baada ya kumaliza kutoa hotuba yake.
Inadaiwa hiyo sio mara yake ya kwanza kufanya tukio hilo mbele ya kamera.Hata hivyo tukio hili halijawashangaza sana watu kwani rais huyo wa taifa lenye nguvu kabisa Duniani ambae amewahi kijiita ghaffe machine amewahi kufanya vituko vingine vingi kama vile kusinzia kwenye mikutano na vikao,kumtambulisha makamu wake kama rais au first lady,kusahau mlango wa kuingilia ofisini kwake na vijimatukio vingine ambavyo vinahusishwa zaidi na uzee kumzidi nguvu
Hii ingefanywa na rais wetu lazima wazee wa kilingeni kina Mshana Jr wangelihusisha na ndumba kama walivyolihusisha tukio la hayati JPM kule Ruangwa na ushirikina
View attachment 2192274
Huyo apo Kibabu Gula anasalimia Hewa
umemalizaKISIWAGA tukio la Ruangwa lilikuwa ni ushikina kwa asilimia 100 na hata baadhi ya matendo ya Biden ni aina ya ushirikina wa huko kwao
Labda ana wadau au walinzi wasioonekana!Katika hali ya kustaabisha rais wa Marekani bwana Joe Biden ameonekana akimpatia mkono mtu asiyeonekana punde tu baada ya kumaliza kutoa hotuba yake.
Inadaiwa hiyo sio mara yake ya kwanza kufanya tukio hilo mbele ya kamera.Hata hivyo tukio hili halijawashangaza sana watu kwani rais huyo wa taifa lenye nguvu kabisa Duniani ambae amewahi kijiita ghaffe machine amewahi kufanya vituko vingine vingi kama vile kusinzia kwenye mikutano na vikao,kumtambulisha makamu wake kama rais au first lady,kusahau mlango wa kuingilia ofisini kwake na vijimatukio vingine ambavyo vinahusishwa zaidi na uzee kumzidi nguvu
Hii ingefanywa na rais wetu lazima wazee wa kilingeni kina Mshana Jr wangelihusisha na ndumba kama walivyolihusisha tukio la hayati JPM kule Ruangwa na ushirikina
Asante mkuu nilikuwa nautafuta sana huu mstariTaifa kubwa kama U.S lazima liongozwe na masonic. Watawala wa hii dunia (mashetani) hawawezi kumwacha kiranja wa dunia hivihivi. Dizaini D. Trump alikuwa akijitahidi kuwakwepakwepa ila waaapi ...
unajua wengi hawajui ni kwanini shetani huwa anaitwa "mkuu wa ulimwengu huu" au "mungu wa dunia hii" 2Kor 4:4
JESUS IS LORD
Picha mkuuKatika hali ya kustaabisha rais wa Marekani bwana Joe Biden ameonekana akimpatia mkono mtu asiyeonekana punde tu baada ya kumaliza kutoa hotuba yake.
Inadaiwa hiyo sio mara yake ya kwanza kufanya tukio hilo mbele ya kamera.Hata hivyo tukio hili halijawashangaza sana watu kwani rais huyo wa taifa lenye nguvu kabisa Duniani ambae amewahi kijiita ghaffe machine amewahi kufanya vituko vingine vingi kama vile kusinzia kwenye mikutano na vikao,kumtambulisha makamu wake kama rais au first lady,kusahau mlango wa kuingilia ofisini kwake na vijimatukio vingine ambavyo vinahusishwa zaidi na uzee kumzidi nguvu
Hii ingefanywa na rais wetu lazima wazee wa kilingeni kina Mshana Jr wangelihusisha na ndumba kama walivyolihusisha tukio la hayati JPM kule Ruangwa na ushirikina