Rais wa Marekani Joe Biden aanguka jukwaani

Rais wa Marekani Joe Biden aanguka jukwaani

Attachments

  • 7726FA60-06D0-4503-A9DD-1962E5DFDDFC.jpeg
    7726FA60-06D0-4503-A9DD-1962E5DFDDFC.jpeg
    24.4 KB · Views: 6
  • A7C7433F-0248-4650-8ACA-3C123B85361B.jpeg
    A7C7433F-0248-4650-8ACA-3C123B85361B.jpeg
    36.4 KB · Views: 7
Hilo li usalama nimeona libunduki linaonekana tu.

Ingekuwa hangaya huyo, JF pangejaaa nyuzi
 
... ana ugonjwa wa hormone imbalance unamsumbua tangu akiwa na miaka miwili. Ha ha ha; wachambuzi feki!
🤣🤣🤣🤣Sio ya hivi bn! Kuna wazee wa kusema majasus wa Iran washafannya yao
 
Biden ana msongo Wa mawazo hasa issue ya Ukraine na kuporomoka kwa dola ameharibu dunia na dunia ikiserereka kama gari bovu na sasa amewekewa ukomo Wa kukopa sasa Ukraine itabaki mkiwa na kumezwa na Russia na hapo bado akisikia nuclear imepigwa atazimia mazima kweli nawaambia
 
HII NI MARA YA NNE

Mar 2021 Air Force One
View attachment 2642987

Jun 2022 Bicycle (Delaware)
View attachment 2642988

Feb 2023 Air Force One
View attachment 2642977

Jun 2023 Air Force Academy graduation
View attachment 2642989

Hapo ni nje ya matukio anayoyafanya kwa kupoteza kumbukumbu (juzi kasema mtoto wake kafariki)

Hicho kipindi ingetokea Trump kaanguka Media zingepiga sana kelele hayupo fiti inabidi ajiuzuru, Ila kwa Biden kimyaaa!!! na hii sio mara ya kwanza, Siasa za marekani Media zinashambulia sana chama cha republicans wanaotaka kuiweka nchi kwenye mstari ila kinawapa sana promo chama cha democrats wanaoharibu nchi kwa ushoga, kuchochea ubaguzi, kuchochea uhalifu, kujaza maharamia, kupromote utoaji wa mimba, kufundisha watoto kupiga ny*to shuleni, n.k. hata kipindi cha trump ilikuwa rahisi mno kubrain wash wabongo kumchukia Trump bila kujua ukweli kwamba Mwamba anapigwa vita sababu ya kupinga mambo kama ushoga na kupiga vita madawa ya kulevya.
Yani wakati Trump anatukana Waafrica tulihitaji mkalimani wa kututafsiria Kingereza?

Hovyoo.
 
Samutaimuz mambo ni murua. Namkumbuka Mugabe alivyosimangwa na international medias
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upinde huyo kapigwa shoo usiku anajamba jamba tu jukwaani
Laana hyo
 
Mbona video inaonesha kabisa alijikwaa kwenye kamba? Inaweza ikamtokea yeyote,
Mangumbaru wa Buza mnatokwa na Mapovu wakati hilo Beberu ndio mfadhili wenu mkuu wa Nchi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

BILA MABEBERU WATANGANYIKA HAWAJAMBI.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
HII NI MARA YA NNE

Mar 2021 alianguka kwenye ngazi za ndege
View attachment 2642987

Jun 2022 alianguka akiwa kasimamisha baiskeli
View attachment 2642988

Feb 2023 alianguka mara 3 kwenye ngazi za ndege
View attachment 2642977

Jun 2023 Leo, kaanguka kwenye mahafali ya jeshi la anga
View attachment 2642989

Hapo ni nje ya matukio mengi mno ya kupoteza kumbukumbu ( juzi kasema mtoto wake mzima wa afya kwamba kafariki )

Media zina double standards sana, Kuna kipindi trump alitembea kama ananyata hivi wakati anashuka ngazi sababu ngazi zilikuwa na maji huku yeye kavaa viatu vya leather (hakuanguka) Media zikapiga kelele mwezi mzima kwamba ni mgonjwa ajiuzuru uraisi, Ingetokea kaanguka ingekuwa habari ya mwaka mzima. Ila kwa Biden hili ni tukio la nne kudondoka media zipo kimyaaa!!!

Siasa za marekani Media zinashambulia sana chama cha republicans wanaotaka kuiweka nchi kwenye mstari ila kinawapa sana promo chama cha Democrats wanaoharibu nchi kwa ushoga, kufundisha watoto wa chekechea s*x, kupromote utoaji wa mimba holela, n.k. kipindi cha trump ilikuwa rahisi mno kubrain wash hata wabongo wamchukie Trump bila kujua ukweli kwamba Mwamba anapigwa vita sababu ya kupinga mambo ya hovyo ya democrats.
Siku zote Cjama pendwa cha waafrika yaani Democratic na Medias zao ni wangese
 
Back
Top Bottom