peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ushindwe na ulegee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushindwe na ulegee!
🤣🤣🤣🤣Sio ya hivi bn! Kuna wazee wa kusema majasus wa Iran washafannya yao... ana ugonjwa wa hormone imbalance unamsumbua tangu akiwa na miaka miwili. Ha ha ha; wachambuzi feki!
Trump atamcheka sana Biden japo naye Trump umri siyo rafiki kwa kazi anayoitaka
Yani wakati Trump anatukana Waafrica tulihitaji mkalimani wa kututafsiria Kingereza?HII NI MARA YA NNE
Mar 2021 Air Force One
View attachment 2642987
Jun 2022 Bicycle (Delaware)
View attachment 2642988
Feb 2023 Air Force One
View attachment 2642977
Jun 2023 Air Force Academy graduation
View attachment 2642989
Hapo ni nje ya matukio anayoyafanya kwa kupoteza kumbukumbu (juzi kasema mtoto wake kafariki)
Hicho kipindi ingetokea Trump kaanguka Media zingepiga sana kelele hayupo fiti inabidi ajiuzuru, Ila kwa Biden kimyaaa!!! na hii sio mara ya kwanza, Siasa za marekani Media zinashambulia sana chama cha republicans wanaotaka kuiweka nchi kwenye mstari ila kinawapa sana promo chama cha democrats wanaoharibu nchi kwa ushoga, kuchochea ubaguzi, kuchochea uhalifu, kujaza maharamia, kupromote utoaji wa mimba, kufundisha watoto kupiga ny*to shuleni, n.k. hata kipindi cha trump ilikuwa rahisi mno kubrain wash wabongo kumchukia Trump bila kujua ukweli kwamba Mwamba anapigwa vita sababu ya kupinga mambo kama ushoga na kupiga vita madawa ya kulevya.
... kuna wale walioripoti tukio nadra sana kuwahi kutokea la his excellence kumwaga kojo hadharani! Kilichowapata wanajua!Wenzetu raisi kaanguka wanasogeza kamera na ku-zooom, ingekuwa hukuu duh waandishi wa habari na wapiga picha wangeshapewa bahasha na warning notes
Lile la Sudan mkuu , bado limoja liko hapa Jirani m7 yanangangania madaraka mpaka yanajikojolea na kujinyea kinyesi wawe wanavalishwa NEpi mkuu.Kuna lingine tena kutoka Afrika lilijikojolea kabisa.
Kuanguka jukwaani ni matokeo ya kutetea ushoga??nimependa huyojamaa alivyo ondoka bada ya saluti kama hayupo vile
hata hivyo huo ndio mshahara wa kutetea mashoga
Biden amechoka sana na memory vilevile hana. Kwa sasa USA inaongozwa na wajanja wa CIA na mashoga tu na siyo Joe Biden. Yeye ni zombie tuJamaa umri umemtupa amechoka sana
FISADI LOW-HASA.Kuna lingine tena kutoka Afrika lilijikojolea kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona video inaonesha kabisa alijikwaa kwenye kamba? Inaweza ikamtokea yeyote,
Mangumbaru wa Buza mnatokwa na Mapovu wakati hilo Beberu ndio mfadhili wenu mkuu wa Nchi
Siku zote Cjama pendwa cha waafrika yaani Democratic na Medias zao ni wangeseHII NI MARA YA NNE
Mar 2021 alianguka kwenye ngazi za ndege
View attachment 2642987
Jun 2022 alianguka akiwa kasimamisha baiskeli
View attachment 2642988
Feb 2023 alianguka mara 3 kwenye ngazi za ndege
View attachment 2642977
Jun 2023 Leo, kaanguka kwenye mahafali ya jeshi la anga
View attachment 2642989
Hapo ni nje ya matukio mengi mno ya kupoteza kumbukumbu ( juzi kasema mtoto wake mzima wa afya kwamba kafariki )
Media zina double standards sana, Kuna kipindi trump alitembea kama ananyata hivi wakati anashuka ngazi sababu ngazi zilikuwa na maji huku yeye kavaa viatu vya leather (hakuanguka) Media zikapiga kelele mwezi mzima kwamba ni mgonjwa ajiuzuru uraisi, Ingetokea kaanguka ingekuwa habari ya mwaka mzima. Ila kwa Biden hili ni tukio la nne kudondoka media zipo kimyaaa!!!
Siasa za marekani Media zinashambulia sana chama cha republicans wanaotaka kuiweka nchi kwenye mstari ila kinawapa sana promo chama cha Democrats wanaoharibu nchi kwa ushoga, kufundisha watoto wa chekechea s*x, kupromote utoaji wa mimba holela, n.k. kipindi cha trump ilikuwa rahisi mno kubrain wash hata wabongo wamchukie Trump bila kujua ukweli kwamba Mwamba anapigwa vita sababu ya kupinga mambo ya hovyo ya democrats.