Rais wa Marekani Joe Biden aanguka jukwaani

Hilo li usalama nimeona libunduki linaonekana tu.

Ingekuwa hangaya huyo, JF pangejaaa nyuzi
 
... ana ugonjwa wa hormone imbalance unamsumbua tangu akiwa na miaka miwili. Ha ha ha; wachambuzi feki!
🤣🤣🤣🤣Sio ya hivi bn! Kuna wazee wa kusema majasus wa Iran washafannya yao
 
Biden ana msongo Wa mawazo hasa issue ya Ukraine na kuporomoka kwa dola ameharibu dunia na dunia ikiserereka kama gari bovu na sasa amewekewa ukomo Wa kukopa sasa Ukraine itabaki mkiwa na kumezwa na Russia na hapo bado akisikia nuclear imepigwa atazimia mazima kweli nawaambia
 
Yani wakati Trump anatukana Waafrica tulihitaji mkalimani wa kututafsiria Kingereza?

Hovyoo.
 
Samutaimuz mambo ni murua. Namkumbuka Mugabe alivyosimangwa na international medias
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upinde huyo kapigwa shoo usiku anajamba jamba tu jukwaani
Laana hyo
 
nimependa huyojamaa alivyo ondoka bada ya saluti kama hayupo vile
hata hivyo huo ndio mshahara wa kutetea mashoga
Kuanguka jukwaani ni matokeo ya kutetea ushoga??
 
Mbona video inaonesha kabisa alijikwaa kwenye kamba? Inaweza ikamtokea yeyote,
Mangumbaru wa Buza mnatokwa na Mapovu wakati hilo Beberu ndio mfadhili wenu mkuu wa Nchi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

BILA MABEBERU WATANGANYIKA HAWAJAMBI.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Siku zote Cjama pendwa cha waafrika yaani Democratic na Medias zao ni wangese
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…