Rais wa Marekani, Joe Biden ajikwaa na kuanguka katika hafla ya Colorado

Na asirudie kabisa kutulazimisha mambo yake, hiyo ni intro akirudia tena.....siku akianguka haamki😁
 
Marais wengi tu wanapata hekaheka kama hizo ila haziwezi kutangazwa sembuse hata kupigwa picha kwa sababu ya asili ya tawala zenyewe maanake ni za kiimla vibaya.

Hii tunaonyeshwa kwa sababu ya asili ya nchi husika lkn kwa nchi zingine kama Russia, China, Iran, North Korea, Cuba, Syria, Belarus na nchi karibu zote za kiafrika, huwezi kuona kitu kama hicho kwa sababu watawala wanaonekana kama miungu watu.
 
Acha bhna huyu salva si ndio rais wa sudan kusini
Mugabe issue yake tofauti na Rais wa South Sudan Salva
Alijikojolea akiwa amesimama wakati wimbo wa Taifa unaimbwa.

Hivi hukuona hiyo Mkuu
Mbona ilikuwa aibu ya mwaka na mkojo unatiririka mpaka chini huku akiangalia kwa mshangao masikini

Nilimhurumia ingawa kama ni ugonjwa ilibidi awe na mfuko wa kuhifadhi mkojo
 
Mara ya pili hii alishaangukaga na baiskeli anaiga hili jituπŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»
 

Attachments

  • Screenshot_20230602-172028_Google.jpg
    265 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230602-171934_Google.jpg
    138.4 KB · Views: 3
[emoji1] Mugabe alipoanguka aliwafukuza kazi walinzi wote

Salva Kiir nae alipojikojolea mpaka waandishi wa Habari walikula shaba
Walipigwa risasi hao waandishi?

Na alijikojolea kwa sababu ya ugonjwa wa tezi dume au umri mkubwa?
 
Apumzike tu,asije siku kujamba au kujisaidia hadharani.
Umri haudanganyi.
 
Nakumbuka sasa ndio nimeshangaa uliposema kuwa kumbe aliwapiga shaba wale waandishi wa habari aisee..
 
Nakumbuka sasa ndio nimeshangaa uliposema kuwa kumbe aliwapiga shaba wale waandishi wa habari aisee..
Haswa, bora umekumbuka tukio
Wale wote waliorekodi live wengi wao waliuwawa nasikia na wengine wako jela

Eti kwanini warekodi Rais anajikojolea na kuachia live kwenye TV?
Africa tuna shida sana Mkuu
Hapo Biden kaanguka mbona hawakumdaka mpaka chini ndio wamemnyanyua
 
Huyu Mzee apumzike tu nahisi muula wa pili hatorudi
 
Daaah kumbe yule mzee nae mshenzi
 
Kuna mwamba ana tabasam Raisi kupiga mweleka ingekua bongo kazi anayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…