#COVID19 Rais wa Marekani, Joe Biden apona COVID-19

#COVID19 Rais wa Marekani, Joe Biden apona COVID-19

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Yuko live mida hii Washington DC Akiutangazia umma wa U.S kwamba ame recovery ugonjwa wa corona.anashukuru kwa maombi amewataka watu waendelee kuchukua tahadhari ili kupunguza kuenea kwa virus vipya vya covid-19 amesema japo wengi wetu tutaendelea kuugua Corona pamoja na kuchukua tahadhari.ameongeza kwa kusema watu waondoe wasiwasi na hofu.vifo vingi vingeweza kuzuiwa Kama watu wangepima na kupigwa booster baada ya chanjo.

Anasema kuanzia leo watu wote wa marekani watapimwa covid Bure bila kutoa hata dollar moja.biden ataendelea kuwa karantini chini ya uangalizi maalumu.

Pia soma: #COVID19 - Rais wa Marekani, Joe Biden akutwa na maambukizi ya COVID-19
 
Huyu mzee ana gundu hii ni mara ya pili anakutana na hii kitu kitakachofuata kitamchomoa.

Anaongoza taifa kwa sera za kidemocratic kutaka dunia yote itambue uwepo wa mashoga hata wa-America wenyewe wameshamchoka.
 
Alichaguliwa kwa sera zipi?
Huyu mzee ana gundu hii ni mara ya pili anakutana na hii kitu kitakachofuata kitamchomoa.

Anaongoza taifa kwa sera za kidemocratic kutaka dunia yote itambue uwepo wa mashoga hata wa-America wenyewe wameshamchoka.
 
CIA walimuuguza ili wapiga kura wameonee huruma ila ngoma bado wananchi hawamtaki
 
Back
Top Bottom