ukisoma comments za post zake mbili hizo utacheka ufe..eti hapo pichani 'Kasimama kama yuko kwenye mnada WA kokoto! yani 'konsekheni' yote IPO huko!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ukisoma comments za post zake mbili hizo utacheka ufe..eti hapo pichani 'Kasimama kama yuko kwenye mnada WA kokoto! yani 'konsekheni' yote IPO huko!
NIMEKUELEWA sana! Shukrani mkuu.Nimemkabidhi rasmi Steve Nyerere cheo cha urais wa misiba Tanzania Bara na Visiwani kwani amethibitisha kwamba hana mpinzani. Ni bingwa wa kufariji wafiwa, kusimamia rambirambi, na kulia msibani, na kila mtu maarufu anayekufa ni ndugu yake na anamjua vizuri. Mungu aendelee kumpa maisha marefu ili watanzania tuzifaidi faraja zake.View attachment 797298
Njoo uone president wetu anasemwaSio mbaya hata mimi mtanzania yeyote yule ni ndugu yangu.
Ila huyu bwana mdogo ni bonge la kuwadi...una shida ya wajasiliamwili wa bongo muvi muone jamaa, problem solved.
Ha ha .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Najua unanichokoza kuku wee. Naenda mwambia unamsema na alivyo na mdomo utalove show
Jomba anadanga?Wazee wa kudanga mjini..
Nimeamka poa ila hata sijalala kwa raha. Insomnia inanirudia kwa kasi siku hizi.Ha ha .
Nisamehe love.
Usimwambie bwana, umeamka poa lakini?
HahahahNaona ratiba yake iko tight sijui kama amefanikiwa kuwahi msiba wa Sam Wa Ukweli