Rais wa misiba Tanzania bara na Visiwani

Kama UKUWADI unampa mtu mpaka LAND CRUISER PRADO basi inabid tujiunge huko
 
Sijui lile liccm lililovaa hayo manguo ya kijani limefuata nini...
Kwani huo ni msiba wa chama?
Ingekuwa kuna mtu kavaa nguo za chadema sidhani kama hata angekuwa huru hadi leo...
 
Sijui lile liccm lililovaa hayo manguo ya kijani limefuata nini...
Kwani huo ni msiba wa chama?
Ingekuwa kuna mtu kavaa nguo za chadema sidhani kama hata angekuwa huru hadi leo...
Liachie lenyewe liko in Love na lichama letu mpendwa!
Damudamu walahi
 
Haa haa haa huyu jamaa katisha
Yan kasmama hapo kama mwongoza
Ibada
 
Anaishi kwa style hiyo....

Ova
 
Kwani zile tuhuma kuhusu rambirambi ni za kweli??
 
Haka kajamaa kasipewe rambirambi, kapigaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…