Liachie lenyewe liko in Love na lichama letu mpendwa!Sijui lile liccm lililovaa hayo manguo ya kijani limefuata nini...
Kwani huo ni msiba wa chama?
Ingekuwa kuna mtu kavaa nguo za chadema sidhani kama hata angekuwa huru hadi leo...
Kumbe na wewe umeona Mkuu?Ilibidi asimame mwenyewe ili camera zimpate vizuri
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha haIla binadamu tulivo wa ajabu ye akipata matatizo si ajabu asipate wa kumsaidia....
Msiba wa kuwadi hujaa wakuwadiwa kwa wingiIla binadamu tulivo wa ajabu ye akipata matatizo si ajabu asipate wa kumsaidia....
Kwani zile tuhuma kuhusu rambirambi ni za kweli??Nimemkabidhi rasmi Steve Nyerere cheo cha urais wa misiba Tanzania Bara na Visiwani kwani amethibitisha kwamba hana mpinzani. Ni bingwa wa kufariji wafiwa, kusimamia rambirambi, na kulia msibani, na kila mtu maarufu anayekufa ni ndugu yake na anamjua vizuri. Mungu aendelee kumpa maisha marefu ili watanzania tuzifaidi faraja zake.View attachment 797298
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]leo kwenye msiba wa Sam wa Ukweli
View attachment 797879