Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi alivyowasili Tanzania (Julai 1, 2024) kwa ziara ya Kitaifa ya siku nne

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi alivyowasili Tanzania (Julai 1, 2024) kwa ziara ya Kitaifa ya siku nne

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi yupo Nchini Tanzania kwa ziara ya kitaifa ya siku nne, aliwasilia Usiku wa Julai 1, 2024.

Baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Nyusi alipokelewa na viongozi mbalimbali wa Serikali, wakiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe.

Akizungumza na vyombo vya habari muda mfupi kabla ya kuwasili kwa Rais Nyusi, Waziri Makamba amesema ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na wa kihistoria kati ya nchi hizo mbili, hasa katika sekta za biashara, uwekezaji, na usalama.
Snapinsta.app_449669607_1493923534896243_9101502993860276524_n_1080.jpg

Snapinsta.app_449538188_1232265507932087_7541824378432027808_n_1080.jpg

Snapinsta.app_449693746_1210957473252614_6889170828235954310_n_1080.jpg

Snapinsta.app_449695060_1014663332921702_7321330061893712591_n_1080.jpg

Snapinsta.app_449519243_1195247101662114_2987686278146709203_n_1080.jpg

Snapinsta.app_449693391_1207460346968501_8141507319719818832_n_1080.jpg
 
Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi yupo Nchini Tanzania kwa ziara ya kitaifa ya siku nne, aliwasilia Usiku wa Julai 1, 2024.

Baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Nyusi alipokelewa na viongozi mbalimbali wa Serikali, wakiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe.

Akizungumza na vyombo vya habari muda mfupi kabla ya kuwasili kwa Rais Nyusi, Waziri Makamba amesema ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na wa kihistoria kati ya nchi hizo mbili, hasa katika sekta za biashara, uwekezaji, na usalama.
Rais andunje kama Peter Msigwa
 
Back
Top Bottom