mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hela za kuongeza mishahara na kulipa madeni ya watumishi hazipo, ila za kuendeleza Chato, zipo!!
Rais anakuwa kazini saa24,kwa hiyo hata akiwa likizo anaruhusiwa kupokea wageni tofauti na wewe afisa mfawidhi mkuu-Maji taka,ukienda likizo,ni mpaka urudi.kumbe yupo likizo?
inamaana hao anaowapokea ni wageni binafsi?
Sasa habari ya likizo inatoka wapi hapo?Rais anakuwa kazini saa24,kwa hiyo hata akiwa likizo anaruhusiwa kupokea wageni tofauti na wewe afisa mfawidhi mkuu-Maji taka,ukienda likizo,ni mpaka urudi
George Bush alikua anafanya mazungumzo ya upatanishi hata kupokea wageni wake shambani kwake Texas Crowford
kamanda ambacho huelewi ni nini?sasa habari ya likizo inatoka wapi hapo?
kwanini wageni wa taifa wanapokelewa kweny makazi binafsi???
Magufuli amefanya ubinafsi upi?Nyerere alitukosea sana wana mara hasa wana Musoma vijijini. Naona huyu mwamba wa Chato anaonesha watu maana ya kuwa raisi na namna eneo ulilotoka linavyonufaika zaidi. Huu ni ubinafsi lakini....
[emoji16]Rais anakuwa kazini saa24,kwa hiyo hata akiwa likizo anaruhusiwa kupokea wageni tofauti na wewe afisa mfawidhi mkuu-Maji taka,ukienda likizo,ni mpaka urudi
George Bush alikua anafanya mazungumzo ya upatanishi hata kupokea wageni wake shambani kwake Texas Crowford
Yule sio wa PSU humjui hata Ibuge ambaye anasimamia Protokali wizara ya Mambo ya Nje mkuu??? Sema zamani anghekua na suti tu nyeusi ila leo kavaa gwanda nimeshangaaKuna mwanajeshi ameongezwa kwenye PSU ya jiwe
Mzee baba ameipromote sana. Watakaofuata wana kazi ya ziada ya kumaintainChato world wide
Ova