Rais Wa Msumbiji kufanya Ziara ya kikazi nchini na kufungua Maonesho ya Sabasaba

Rais Wa Msumbiji kufanya Ziara ya kikazi nchini na kufungua Maonesho ya Sabasaba

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wa Msumbiji Mheshimiwa Filipe Nyusi anatarajia kufanya ziara ya kikazi hapa Nchini kuanzia Tarehe 1-4 Mwezi huu wa July.

Ambapo pamoja na mambo mengine anatarajiwa pia kuwa mgeni Rasmi na kufungua maonesho ya sabasaba. Lakini pia Rais huyo wa Msumbiji atashiriki katika usainiji wa mikataba mbalimbali katika nyanja za Elimu ,Afya n.k.

Tanzania na Msumbiji tumekuwa kama ndugu kutokana na historia yetu ya muda mrefu na ya kindugu ,iliyoasisiwa na kuanzishwa na viongozi wetu ambao wote kwa sasa wametangulia Mbele za haki ,yaani Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na Hayati Samora.
Screenshot_20240701-102302_1.jpg

Screenshot_20240701-105032_1.jpg

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wa Msumbiji Mheshimiwa Filipe Nyusi anatarajia kufanya ziara ya kikazi hapa Nchini kuanzia Tarehe 1-4 Mwezi huu wa July.

Ambapo pamoja na mambo mengine anatarajiwa pia kuwa mgeni Rasmi na kufungua maonesho ya sabasaba. Lakini pia Rais huyo wa Msumbiji atashiriki katika usainiji wa mikataba mbalimbali katika nyanja za Elimu ,Afya n.k.

Tanzania na Msumbiji tumekuwa kama ndugu kutokana na historia yetu ya muda mrefu na ya kindugu ,iliyoasisiwa na kuanzishwa na viongozi wetu ambao wote kwa sasa wametangulia Mbele za haki ,yaani Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na Hayati Samora.View attachment 3030430

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwasha mbwa utabubujikwa na machozi ukimuona chura kiziwi akimpokea Rais Nyusi
 
Ujumbe mzuri ila tu paragraph zako mbili za mwisho ndio zinakufanya uonekane tahaira
 
Mwasha mbwa utabubujikwa na machozi ukimuona chura kiziwi akimpokea Rais Nyusi
Muwe na heshima kwa Mheshimiwa Rais.kwa sasa Rais Samia amewafanya Watanzania watembee mitaani huku nyuso zao zikiwa zimejaa furaha na tabasamu kubwa Sana.
 
nasikia wewe ndio ulimripoti akala mvua za kutoshaa😂🤣🤣
Wala sina sababu hiyo.hata hivyo ni ukweli kuwa pembe la ng'ombe halifichiki .matusi aliyokuwa ananitukana huyo bwana ni makubwa sana ambayo watu wengi sana walikuwa hawafurahishwi na tabia hiyo. Hata kwa sasa naamini hata maliza Mwezi mmoja kabla ya kufungiwa tena hata kwa mwaka mmoja hivi ili awe na adabu na kuacha lugha za kihuni huni na kivuta bangi .
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wa Msumbiji Mheshimiwa Filipe Nyusi anatarajia kufanya ziara ya kikazi hapa Nchini kuanzia Tarehe 1-4 Mwezi huu wa July.

Ambapo pamoja na mambo mengine anatarajiwa pia kuwa mgeni Rasmi na kufungua maonesho ya sabasaba. Lakini pia Rais huyo wa Msumbiji atashiriki katika usainiji wa mikataba mbalimbali katika nyanja za Elimu ,Afya n.k.

Tanzania na Msumbiji tumekuwa kama ndugu kutokana na historia yetu ya muda mrefu na ya kindugu ,iliyoasisiwa na kuanzishwa na viongozi wetu ambao wote kwa sasa wametangulia Mbele za haki ,yaani Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na Hayati Samora.View attachment 3030430
View attachment 3030447
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hii siyo poa kabisa. Inawezekanaje mgeni aje kufungua maonesho muhimu kama Sabasaba wakati nchi ina watu muhumi kama Mwijaku, baba levo, Juma lokole na Dotto magari. Kwanini hatuthami vya kwetu.

Kwa kweli inasikitisha tujitafakari.
 
Hii siyo poa kabisa. Inawezekanaje mgeni are kumfungulia maonesho muhimu kama Shabaab wakati nchi ina watu muhumi kama Mwijaku, baba levo, Juma lokole na Dotto magari. Kwanini hatuthami vya kwetu.

Kwa kweli inasikitisha tujitafakari.
Acha utani wako kwenye masuala muhimu.
 
Back
Top Bottom