Rais wa Nchi hutakiwi kuwa na makundi

Rais wa Nchi hutakiwi kuwa na makundi

Mtoto wa Nyerere

Senior Member
Joined
May 21, 2021
Posts
129
Reaction score
689
Naona kwa maoni yangu tupo kwenye mkwamo kuliko kipindi chochote toka tupate Uhuru.

Rais ukiingia madarakani na ukawa na makundi ya Matajiri na watu wenye maslahi yao madarakani ujue hauwezi kuongoza taifa.

Nyerere hakuwa na makundi ndio maana mpaka anaondoka ikulu hakuwai kuiba hata sent ya Nchi hii.

Ukiona Rais yeyote anakuwa na makundi ya kiutawala mwogope Kama ukoma.

Magufuli hakuwa na makundi ya Matajiri hii ilimsaidia kiasi kutoa maagizo na yakafanyiwa kazi haraka.
Ingawa alikuwa na makundi ya wasiojulikana ila haiondoi ukweli kwamba alikuwa mzalendo kiasi.

Ukiona Rais ukiingia unaingia madarakani halafu unatoa maagizo hayafanyiwi kazi jua kuwa una makundi ambayo yameweka mfukoni serikali yako.

Natoa tu angalizo kueleekea 2025 tunahitaji Rais ambaye Hana makundi ya mfumo ya kifisadi na wasio hongeka Kama walivyo.

1 Tundu Lissu
2: Anthony Mtaka
3: John Myika

Kazi kwenu watu mnaofanya vetting na kutaka kuindoa Nchi kwenye mkwamo wa wezi na mafisadi ya taifa hili.
 
Nina wasiwasi kuwa wakati Magufuli anatawala wewe hukuwepo Nchini
 
Hao labda wawe marais wa ghetto.

2025 tunaenda na Mh Rais SSH.

Kazi iendelee.
 
Kwa ushauri wangu huyu Mama apigwe chini kabla ajatengeneza makundi ya wezi ukiona jk ameanza kumsifia ujue tayari tumepigwa

Akigombea 2025 ndio itakuwa mwisho wa ccm tunza hi kwenye kumbukumbu.
 
Hii nchi naona best way tungeajiri wazungu waiongoze serikali, hawa waswahili hawajielewi, wanaongoza serikali kama wanacheza ngoma za kwao.
 
Imagine Rais halafu anasema kuwa 2025 atagombea urais ili awabebe wanawake bila ya kujua kuwa Rais ni kiongozi wa watu wote na mtu hawi Rais kutokana na jinsia yake au kabila lake au dini yake au rangi yake🤡🤡🤡
 
Imagine Rais halafu anasema kuwa 2025 atagombea urais ili awabebe wanawake bila ya kujua kuwa Rais ni kiongozi wa watu wote na mtu hawi Rais kutokana na jinsia yake au kabila lake au dini yake au rangi yake🤡🤡
Ninadhani nia yake ilikua kutuma ujumbe kwa wale wanaoamini kuwa sehemu ya mwanamke ni jikoni. Ujumbe ni kuwa yeye ni Rais na ataendelea kuwa Rais.
 
Ninadhani nia yake ilikua kutuma ujumbe kwa wale wanaoamini kuwa sehemu ya mwanamke ni jikoni. Ujumbe ni kuwa yeye ni Rais na ataendelea kuwa Rais.
Kama ishu ilikuwa ni kutuma ujumbe alipaswa atume ujumbe kuwa yeye ni Rais wa watu wote na kazi hiyo anaiweza vyema bila ya kutaja kuwa ataibeba jinsia fulani.

Tatizo limeanza pale alipoingiza masuala ya jinsia katika Urais wake.

Sisi kamwe hatutamhukumu kutokana na jinsia yake bali tutamhukumu kutokana na uwezo wake.

Sisi tunaangalia uwezo na wala siyo jinsia na ndiyo maana hata alipoteua mwanamke kuwa waziri wa ulinzi hakuna mtu hata mmoja hapa ambae alilalamika au kuchukia au kuguna kuwa kwa nini waziri wa ulinzi achaguliwe mwanamke.

Hata mkuu wa jeshi akichaguliwa mwanamke ni very fine as long as ana uwezo.

Sisi tunapinga mtu kujificha kwenye chaka la jinsia kwa namna yoyote ile.
 
Ni Jambo la ajabu babo tuna safari ndefu Kama mkuu wa nchi hajiamini na kutumia jinsia yake kuhalalisha Jambo.
 
Anthony Mtaka anastahili Sana huyu jamaa anajielewa mno,huyu mama ni km muigizaji fulani hivi wa comedy, siku hizi umeme imekua inshu, vitu vimepanda bei yaani nchi inaendeshwa kiholela holela tu zama za JK zimerudi
Naona kwa maoni yangu tupo kwenye mkwamo kuliko kipindi chochote toka tupate Uhuru.

Rais ukiingia madarakani na ukawa na makundi ya Matajiri na watu wenye maslahi yao madarakani ujue hauwezi kuongoza taifa.

Nyerere hakuwa na makundi ndio maana mpaka anaondoka ikulu hakuwai kuiba hata sent ya Nchi hii.

Ukiona Rais yeyote anakuwa na makundi ya kiutawala mwogope Kama ukoma.

Magufuli hakuwa na makundi ya Matajiri hii ilimsaidia kiasi kutoa maagizo na yakafanyiwa kazi haraka.
Ingawa alikuwa na makundi ya wasiojulikana ila haiondoi ukweli kwamba alikuwa mzalendo kiasi.

Ukiona Rais ukiingia unaingia madarakani halafu unatoa maagizo hayafanyiwi kazi jua kuwa una makundi ambayo yameweka mfukoni serikali yako.

Natoa tu angalizo kueleekea 2025 tunahitaji Rais ambaye Hana makundi ya mfumo ya kifisadi na wasio hongeka Kama walivyo.

1 Tundu Lissu
2: Anthony Mtaka
3: John Myika

Kazi kwenu watu mnaofanya vetting na kutaka kuindoa Nchi kwenye mkwamo wa wezi na mafisadi ya taifa hili.
 
Ninadhani nia yake ilikua kutuma ujumbe kwa wale wanaoamini kuwa sehemu ya mwanamke ni jikoni. Ujumbe ni kuwa yeye ni Rais na ataendelea kuwa Rais.
Halafu nchi si huwa inaongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria? Ni katiba ipi hiyo inasema kuwa mwanamke sehemu yake ni jikoni? Kama kuna watu wanadai kuwa mwanamke sehemu yake ni jikoni kinyume na katiba yetu huna haja ya kuwajibu kwa sababu utajibu mangapi ambayo watu hawayajui juu ya katiba yetu?
 
Naona kwa maoni yangu tupo kwenye mkwamo kuliko kipindi chochote toka tupate Uhuru.

Rais ukiingia madarakani na ukawa na makundi ya Matajiri na watu wenye maslahi yao madarakani ujue hauwezi kuongoza taifa.

Nyerere hakuwa na makundi ndio maana mpaka anaondoka ikulu hakuwai kuiba hata sent ya Nchi hii.

Ukiona Rais yeyote anakuwa na makundi ya kiutawala mwogope Kama ukoma.

Magufuli hakuwa na makundi ya Matajiri hii ilimsaidia kiasi kutoa maagizo na yakafanyiwa kazi haraka.
Ingawa alikuwa na makundi ya wasiojulikana ila haiondoi ukweli kwamba alikuwa mzalendo kiasi.

Ukiona Rais ukiingia unaingia madarakani halafu unatoa maagizo hayafanyiwi kazi jua kuwa una makundi ambayo yameweka mfukoni serikali yako.

Natoa tu angalizo kueleekea 2025 tunahitaji Rais ambaye Hana makundi ya mfumo ya kifisadi na wasio hongeka Kama walivyo.

1 Tundu Lissu
2: Anthony Mtaka
3: John Myika

Kazi kwenu watu mnaofanya vetting na kutaka kuindoa Nchi kwenye mkwamo wa wezi na mafisadi ya taifa hili.
Wewe acha kudanganya watu. Magufuli alikuwa na kundi kubwa na machinga ambao aliwatapakaza mabarabarani na matajiri akawaterekeza ndio mana wameamu kumuua kwa sumu kali kutoka Urusi
 
Mh. Samia anajikaanga kiasi fulani namna anavyo zungumzia kuchaguliwa viongozi kwa jinsia yao.

Atajipunguzia kura toka kwa wahafidhina wanaoshikilia mawazo mgando ya mfumo dume. Aongee kiujanja janja au mengine asiongee bali ayafanye kimya kimya kwa kushitukiza tu.
 
Back
Top Bottom