Imagine now kila kitu kinapanda tu BeiHuyu Mama ni hopeless and inept.Ni kama mtoto mdogo alievaa pampasi ambae hajui la kufanya.
Imagine jitu ni Rais halafu linasema kuwa 2025 litagombea urais ili liwabebe wanawake bila ya kujua kuwa Rais ni kiongozi wa watu wote na mtu hawi Rais kutokana na jinsia yake au kabila lake au dini yake au rangi yake🤡🤡🤡
Katiba pia Ina fahamu kuwa Tanzania ni nchi ya vyama vingi lakini chama kinachoruhusiwa kufanya mikutano na wananchi pia wafusi wake ni kimoja tu. Kuielewa katiba na kuitekeleza kunahitaji elimu ya ziada Tanzania.Halafu nchi si huwa inaongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria?Ni katiba ipi hiyo inasema kuwa mwanamke sehemu yake ni jikoni?Kama kuna watu wanadai kuwa mwanamke sehemu yake ni jikoni kinyume na katiba yetu huna haja ya kuwajibu kwa sababu utajibu mangapi ambayo watu hawayajui juu ya katiba yetu?
[emoji1][emoji1][emoji1]CCM itakufa asubuhi kabla ya sadaka ya kwanza
Watu wameanza kutangaza nia hata mwaka hawajamaliza madarakaniKwani nini kinaendelea maana me nipo huku mwisho wa wa Tanzania ambako ukinunua juisi unaambiwa chupa urudishe yaani hatujui hata hii nchi inakwenda wapi
Ndugu hakuna rais asiye na makundi , kuanzia ktk ngazi za uteuzi ktk chama chake kunakuwa na kambi ...nikupe mfano. Hayati magufuli aliwah kulalamikia kuhujumiwa na baadhi ya wanachama wenzake ktk zile kampeni za 2015 ..Naona kwa maoni yangu tupo kwenye mkwamo kuliko kipindi chochote toka tupate Uhuru.
Rais ukiingia madarakani na ukawa na makundi ya Matajiri na watu wenye maslahi yao madarakani ujue hauwezi kuongoza taifa.
Nyerere hakuwa na makundi ndio maana mpaka anaondoka ikulu hakuwai kuiba hata sent ya Nchi hii.
Ukiona Rais yeyote anakuwa na makundi ya kiutawala mwogope Kama ukoma.
Magufuli hakuwa na makundi ya Matajiri hii ilimsaidia kiasi kutoa maagizo na yakafanyiwa kazi haraka.
Ingawa alikuwa na makundi ya wasiojulikana ila haiondoi ukweli kwamba alikuwa mzalendo kiasi.
Ukiona Rais ukiingia unaingia madarakani halafu unatoa maagizo hayafanyiwi kazi jua kuwa una makundi ambayo yameweka mfukoni serikali yako.
Natoa tu angalizo kueleekea 2025 tunahitaji Rais ambaye Hana makundi ya mfumo ya kifisadi na wasio hongeka Kama walivyo.
1 Tundu Lissu
2: Anthony Mtaka
3: John Myika
Kazi kwenu watu mnaofanya vetting na kutaka kuindoa Nchi kwenye mkwamo wa wezi na mafisadi ya taifa hili.
Mtandao ni kundi baya sanaaaaaaaNaona kwa maoni yangu tupo kwenye mkwamo kuliko kipindi chochote toka tupate Uhuru.
Rais ukiingia madarakani na ukawa na makundi ya Matajiri na watu wenye maslahi yao madarakani ujue hauwezi kuongoza taifa.
Nyerere hakuwa na makundi ndio maana mpaka anaondoka ikulu hakuwai kuiba hata sent ya Nchi hii.
Ukiona Rais yeyote anakuwa na makundi ya kiutawala mwogope Kama ukoma.
Magufuli hakuwa na makundi ya Matajiri hii ilimsaidia kiasi kutoa maagizo na yakafanyiwa kazi haraka.
Ingawa alikuwa na makundi ya wasiojulikana ila haiondoi ukweli kwamba alikuwa mzalendo kiasi.
Ukiona Rais ukiingia unaingia madarakani halafu unatoa maagizo hayafanyiwi kazi jua kuwa una makundi ambayo yameweka mfukoni serikali yako.
Natoa tu angalizo kueleekea 2025 tunahitaji Rais ambaye Hana makundi ya mfumo ya kifisadi na wasio hongeka Kama walivyo.
1 Tundu Lissu
2: Anthony Mtaka
3: John Myika
Kazi kwenu watu mnaofanya vetting na kutaka kuindoa Nchi kwenye mkwamo wa wezi na mafisadi ya taifa hili.
Wapi ilisemwa kuwa yeye ni mtu wa jikoni labda tukumbushe ?!Ninadhani nia yake ilikua kutuma ujumbe kwa wale wanaoamini kuwa sehemu ya mwanamke ni jikoni. Ujumbe ni kuwa yeye ni Rais na ataendelea kuwa Rais.
Haya maneno aliyasema Nyerere mapema sana. Kuwa watu dhaifu wakipewa uongozi tazama kauli zao utaona zina elements za ubaguzi fulani ili tu wajinasibishe kuwa wao ni bora katika jamii.Kama ishu ilikuwa ni kutuma ujumbe alipaswa atume ujumbe kuwa yeye ni Rais wa watu wote na kazi hiyo anaiweza vyema bila ya kutaja kuwa ataibeba jinsia fulani.
Tatizo limeanza pale alipoingiza masuala ya jinsia katika Urais wake.
Sisi kamwe hatutamhukumu kutokana na jinsia yake bali tutamhukumu kutokana na uwezo wake.
Sisi tunaangalia uwezo na wala siyo jinsia na ndiyo maana hata alipoteua mwanamke kuwa waziri wa ulinzi hakuna mtu hata mmoja hapa ambae alilalamika au kuchukia au kuguna kuwa kwa nini waziri wa ulinzi achaguliwe mwanamke.
Hata mkuu wa jeshi akichaguliwa mwanamke ni very fine as long as ana uwezo.
Sisi tunapinga mtu kujificha kwenye chaka la jinsia kwa namna yoyote ile.
Umemsahau Maria SarungiNaona kwa maoni yangu tupo kwenye mkwamo kuliko kipindi chochote toka tupate Uhuru.
Rais ukiingia madarakani na ukawa na makundi ya Matajiri na watu wenye maslahi yao madarakani ujue hauwezi kuongoza taifa.
Nyerere hakuwa na makundi ndio maana mpaka anaondoka ikulu hakuwai kuiba hata sent ya Nchi hii.
Ukiona Rais yeyote anakuwa na makundi ya kiutawala mwogope Kama ukoma.
Magufuli hakuwa na makundi ya Matajiri hii ilimsaidia kiasi kutoa maagizo na yakafanyiwa kazi haraka.
Ingawa alikuwa na makundi ya wasiojulikana ila haiondoi ukweli kwamba alikuwa mzalendo kiasi.
Ukiona Rais ukiingia unaingia madarakani halafu unatoa maagizo hayafanyiwi kazi jua kuwa una makundi ambayo yameweka mfukoni serikali yako.
Natoa tu angalizo kueleekea 2025 tunahitaji Rais ambaye Hana makundi ya mfumo ya kifisadi na wasio hongeka Kama walivyo.
1 Tundu Lissu
2: Anthony Mtaka
3: John Myika
Kazi kwenu watu mnaofanya vetting na kutaka kuindoa Nchi kwenye mkwamo wa wezi na mafisadi ya taifa hili.
Hapo TUMEPIGWAAAAAAAA.Mh. Samia anajikaanga kiasi fulani namna anavyo zungumzia kuchaguliwa viongozi kwa jinsia yao.
Atajipunguzia kura toka kwa wahafidhina wanaoshikilia mawazo mgando ya mfumo dume. Aongee kiujanja janja au mengine asiongee bali ayafanye kimya kimya kwa kushitukiza tu.
chuki itakuua kijana....Hakika jamaa alikuwa na nepotism kiwango Cha juu sana, imagine Baraza lote la mawaziri, makatibu wakuu, makamu wa Rais, wakurugenzi wa mashirikka na halmashauri zote, wakuu wa mikoa na wilaya, wajumbe wa bodi mbalimbali, nk wote Kama hawakutoka Kanda ya ziwa Basi walikuwa wasukuma kutoka Chato ,,,, miradi yote ya maendeleo ilifanyikia Chato mpaka makao makuu ya nchi na ikulu ilihamia Chato.