Tetesi: Rais wa nchi ile hana nia ya dhati ya kuthibiti corona. "USHAHIDI" anatamani na anapanga makusudi maafa yatokee nchini mwake

Tetesi: Rais wa nchi ile hana nia ya dhati ya kuthibiti corona. "USHAHIDI" anatamani na anapanga makusudi maafa yatokee nchini mwake

Umeandika kama mtu ambaye yuko mwezi mmoja nyuma katika kufuatilia habari.

Habari zako zimepitwa na wakati kwa angalau mwezi mmoja.

Kwanza, Covid-19 haichagui wa kuua kwa umri.

Kuna watu wengi tu vijana imewaua, kuna watu wengi tu wazee wame survive.

Unaelewa hilo?

Sent from my typewriter using Tapatalk
Kwanini unapingana na wakati?
Alafu na kwanini pia unatumia wakati uliopita?
Wame, wali, ali.
Wana, ana.

Kwanini haukuandika tanzania wanakufa vijana,.
Na wapi kafa kijana Afrika
 
Inaonekana wewe ni mfuasi wa Chama pinzani kwenye Nchi hiyo maana nyinyi hammtakii mema raisi wa nchi hiyo kila analofanya mnataka kumkwamisha wakati nyinyi hata mkoa hamuwezi kuuongoza kazi yenu majungu tu
Huku dunia nzima tukiwa na hali ya taadhari na mipango mbali mbali kupambana na janga hili la virus vya corona kuna nchi moja ya mbali huko kiongozi wa taifa hilo anaonekana na wengi kua hajali ila kwangu mimi namuona kwa jicho tofauti nikitazama ushahidi wa hulka zake.

Wakati mchi zotewanaamasisha kuepuka misongamano, katika nchi hyo wala hawajali kitu huku afisa fulani wa serikali anaeshutumiwa kua alipata 0 darasani akikusanya watu kila siKu kuongea "yasiyo ya msingi"

Nchi hyo ambayo tayari imeripotiwa kuwa na wagonjwa kadhaa wa corona, raisi wao anaamasisha watu waendelee kwenda kanisani na misikitini ili hali mikusanyiko inatambulika kua hatarh.. (anatamani na anapanga kwa makusudi watu wake waambukizwe usiulize kwanini, relax nitajibu swali hili punde)

Wakati dunia nzima ikishuhudia marais wa mataifa mbali mbali wakitoa rai kila mara kukumbusha, kutoa mikakati na kusisitiza wanainchi wao, raisi wa nchi hiyo yeye anaonekana akiwa anafanya utalii wa miamba huku akionekana kunywa coffee "mitaani" makusudi akiaminisha watu hakuna hatari.

Kwanini rais huyu anapanga maafa yatokee ?!
Kulijibu hili tuweke wazi mambo kadhaa, kwanza yeye na familia yake ni dhairi hawata athirika na janga hili na hata ikitokea mtu wa familia yake akapata tatizo hili, atahududiwa na ICU chache zitawekwa "reserve" kwa ajili yao. (UBINAFSI) Na kiongozi huyu ni mbinafsi kweli kweli mithili ya kina Mobotu huku akijijengea empire na uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa ukigharimu mabilioni ya shiling kijijini kwao ambako hakuna raia mwenye uwezo wa kupanda ndege.

Ubadhilifu. Rais huyu anapanga maafa haya huku akijua wazi kua endapo maafa yatakua makubwa nchini mwake na kwingine kuthibitiwa atapewa "misaada" na hapo ndo kwenye utamu.

Raisi huyu alishashuhudiwa akikwapua mabilioni ya fedha zilizochangwa na misaada kutoka mataifa mbali mbali kwa ajili ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoa fulani nchini mwake na rais huyu akakwapua fedha yote bila kutoa msaada wowote kwa wahanga huku akisema "serikali haikukaeta tetemeko" ila mimi nikashangaa serikali kuchukua fedha za misaada ya wahanga, haikuleta tetemeko ila misaada inakwapua.

Kwa wakati mwingine ilitokea ajali mbaya ya basi la wanafunzi katika mkoa fulani nchini humo maarufu sana kwa kilimo cha bangi, michango toka kila kona ya dunia ilikusanywa kisha kama kawaida kukwapuliwa na serikali.

Sababu nyingine kwa serikali hyo kupalia kuni janga hili ni kupata sababu ya kuendelea kusalia madarakani. Serikali hyo ambayo imekua ya kifisadi na kidikteta imepoteza mvuto kwa wananchi huku ikidaiwa kutekeleza uteji wa wakosoaji.

Ni dhairi serikali hyo inaogopa uchaguzi wa huru na haki ambao uko karibuni na sasa kichaka cha corona virus ni maridhawa kujificha humo kama janga litakua kubwa kama wanavyopanga hvyo kusalia madarakani kwa kuairisha uchaguzi.

Ni dhairi serikali ya nchi hyo ya mbali inatamani na inapanga kutumia janga la corona kujikwapulia tena fedha za misaada pale hali itakapokua tete kuliko kote duniani (kama wanavyopanga) na misaa kushuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku dunia nzima tukiwa na hali ya taadhari na mipango mbali mbali kupambana na janga hili la virus vya corona kuna nchi moja ya mbali huko kiongozi wa taifa hilo anaonekana na wengi kua hajali ila kwangu mimi namuona kwa jicho tofauti nikitazama ushahidi wa hulka zake.

Wakati mchi zotewanaamasisha kuepuka misongamano, katika nchi hyo wala hawajali kitu huku afisa fulani wa serikali anaeshutumiwa kua alipata 0 darasani akikusanya watu kila siKu kuongea "yasiyo ya msingi"

Nchi hyo ambayo tayari imeripotiwa kuwa na wagonjwa kadhaa wa corona, raisi wao anaamasisha watu waendelee kwenda kanisani na misikitini ili hali mikusanyiko inatambulika kua hatarh.. (anatamani na anapanga kwa makusudi watu wake waambukizwe usiulize kwanini, relax nitajibu swali hili punde)

Wakati dunia nzima ikishuhudia marais wa mataifa mbali mbali wakitoa rai kila mara kukumbusha, kutoa mikakati na kusisitiza wanainchi wao, raisi wa nchi hiyo yeye anaonekana akiwa anafanya utalii wa miamba huku akionekana kunywa coffee "mitaani" makusudi akiaminisha watu hakuna hatari.

Kwanini rais huyu anapanga maafa yatokee ?!
Kulijibu hili tuweke wazi mambo kadhaa, kwanza yeye na familia yake ni dhairi hawata athirika na janga hili na hata ikitokea mtu wa familia yake akapata tatizo hili, atahududiwa na ICU chache zitawekwa "reserve" kwa ajili yao. (UBINAFSI) Na kiongozi huyu ni mbinafsi kweli kweli mithili ya kina Mobotu huku akijijengea empire na uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa ukigharimu mabilioni ya shiling kijijini kwao ambako hakuna raia mwenye uwezo wa kupanda ndege.

Ubadhilifu. Rais huyu anapanga maafa haya huku akijua wazi kua endapo maafa yatakua makubwa nchini mwake na kwingine kuthibitiwa atapewa "misaada" na hapo ndo kwenye utamu.

Raisi huyu alishashuhudiwa akikwapua mabilioni ya fedha zilizochangwa na misaada kutoka mataifa mbali mbali kwa ajili ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoa fulani nchini mwake na rais huyu akakwapua fedha yote bila kutoa msaada wowote kwa wahanga huku akisema "serikali haikukaeta tetemeko" ila mimi nikashangaa serikali kuchukua fedha za misaada ya wahanga, haikuleta tetemeko ila misaada inakwapua.

Kwa wakati mwingine ilitokea ajali mbaya ya basi la wanafunzi katika mkoa fulani nchini humo maarufu sana kwa kilimo cha bangi, michango toka kila kona ya dunia ilikusanywa kisha kama kawaida kukwapuliwa na serikali.

Sababu nyingine kwa serikali hyo kupalia kuni janga hili ni kupata sababu ya kuendelea kusalia madarakani. Serikali hyo ambayo imekua ya kifisadi na kidikteta imepoteza mvuto kwa wananchi huku ikidaiwa kutekeleza uteji wa wakosoaji.

Ni dhairi serikali hyo inaogopa uchaguzi wa huru na haki ambao uko karibuni na sasa kichaka cha corona virus ni maridhawa kujificha humo kama janga litakua kubwa kama wanavyopanga hvyo kusalia madarakani kwa kuairisha uchaguzi.

Ni dhairi serikali ya nchi hyo ya mbali inatamani na inapanga kutumia janga la corona kujikwapulia tena fedha za misaada pale hali itakapokua tete kuliko kote duniani (kama wanavyopanga) na misaa kushuka.


Yan wewe unasubir serikali au Rais akwambie usitoke nje ndo usikie?

Haupo serious na maisha yako Kama unaona n lazima kukaa ndan kaa hakuna wa kukuuliza Kama unaona n lazima kushinda shamban nenda hakuna wakukuzuia ilmradi tuu hauvunji Sheria na taratibu za nchi yako.

Umakini na uiamara wa afya yako unaanza nawewe mwenyewe hao madaktari au serikali wanakuja kujaribu kukusaidia Tena sio kwa muda unaotaka wewe.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Kwanini unapingana na wakati?
Alafu na kwanini pia unatumia wakati uliopita?
Wame, wali, ali.
Wana, ana.

Kwanini haukuandika tanzania wanakufa vijana,.
Na wapi kafa kijana Afrika
Afrika hata kupima hampimi, wizara ya afya majuzi imetoa taarifa imepima watu 26, katika nchi yenye watu karibu milioni 60.

Sasa hapo mtu akifa utajua huyu kafa kwa Corona au siyo?

Acha kupima Corona tu, huko Afrika kuna watu wanazikwa wakiwa bado wazima, kwa sababu hakuna teknolojia nzuri kupima watu kama wamefariki au bado.

Wacha masihara wewe.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Atukuzwe Mungu wa mbinguni kwa kutupatia Rais anayejua kuwa kwa akili na mbinu zetu za kibinadamu hatuwezi kupambana na janga hili.

Mungu pekee ndiye Atakayetuvusha kwenye hili.


Jesus is Lord!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atukuzwe Mungu wa mbinguni kwa kutupatia Rais anayejua kuwa kwa akili na mbinu zetu za kibinadamu hatuwezi kupambana na janga hili.

Mungu pekee ndiye Atakayetuvusha kwenye hili.


Jesus is Lord!

Sent using Jamii Forums mobile app
daaaah ndugu yangu wee unaakiri sana tena sana.

Kwa akili za kibinadamu hili jambo ni gumu tena zaidi ya sana.
 
Afrika hata kupima hampimi, wizara ya afya majuzi imetoa taarifa imepima watu 26, katika nchi yenye watu karibu milioni 60.

Sasa hapo mtu akifa utajua huyu kafa kwa Corona au siyo?

Acha kupima Corona tu, huko Afrika kuna watu wanazikwa wakiwa bado wazima, kwa sababu hakuna teknolojia nzuri kupima watu kama wamefariki au bado.

Wacha masihara wewe.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Kupima au kuongeza vipimo nchini ni sawa na
BINI KIZEE ANAYEMTAFUTA SIMBA MLA MIFUGO PORINI HUKU NA FIMBO YAKE MKONONI
 
Kwa ujinga ulioandikwa humu ni bora kuzaliwa Korea Kaskazini kwa kiduku... Kule hakuna huu ujinga wa kuwapanikisha wananchi, wanapambana kivyao kimyakimya na matatizizo yao

Mi nashangaa sana, yaani wewe unayashobokea yanayotokea nchi za ulaya badala ya kushobokea yako?
Nchi gani hapa Afrika umesikia imeripoti vifo zaidi ya mia hata km hawapimi? Yaani misiba 100 ndani ya siku moja?

Acha kumfananisha mzungu na mwafrika, hawa watu ni tofauti kabisa. Toka enzi hizo za ukoloni wazungu walitujua kuwa sisi ni STRONG/IMARA...

Ukimwi ulikuja ushagonga mwamba na Ebola nayo imesalimu amri... Mbona hatukufa kama kuku kama ile Spanish Flu iliyowachinja wazungu zaidi ya milioni 50 ndani ya miaka miwili?

Leo mafua yaleyale ya miaka 100 iliyopita yaliyokuja kwa jina jingine la Corona yanaanza kukunyanyasa kiasi hiki?

Kila mtu apambane na masaibu yake
 
Kinachotunusuru kama nchi ni imani aliyoonyesha mheshimiwa Rais kwa Mungu wa Mbinguni. Hii vita tumeishaishinda mimi nakwambia
 
Watu tunampenda Sana uyo rais wetu wa mbali
Huku dunia nzima tukiwa na hali ya taadhari na mipango mbali mbali kupambana na janga hili la virus vya corona kuna nchi moja ya mbali huko kiongozi wa taifa hilo anaonekana na wengi kua hajali ila kwangu mimi namuona kwa jicho tofauti nikitazama ushahidi wa hulka zake.

Wakati mchi zotewanaamasisha kuepuka misongamano, katika nchi hyo wala hawajali kitu huku afisa fulani wa serikali anaeshutumiwa kua alipata 0 darasani akikusanya watu kila siKu kuongea "yasiyo ya msingi"

Nchi hyo ambayo tayari imeripotiwa kuwa na wagonjwa kadhaa wa corona, raisi wao anaamasisha watu waendelee kwenda kanisani na misikitini ili hali mikusanyiko inatambulika kua hatarh.. (anatamani na anapanga kwa makusudi watu wake waambukizwe usiulize kwanini, relax nitajibu swali hili punde)

Wakati dunia nzima ikishuhudia marais wa mataifa mbali mbali wakitoa rai kila mara kukumbusha, kutoa mikakati na kusisitiza wanainchi wao, raisi wa nchi hiyo yeye anaonekana akiwa anafanya utalii wa miamba huku akionekana kunywa coffee "mitaani" makusudi akiaminisha watu hakuna hatari.

Kwanini rais huyu anapanga maafa yatokee ?!
Kulijibu hili tuweke wazi mambo kadhaa, kwanza yeye na familia yake ni dhairi hawata athirika na janga hili na hata ikitokea mtu wa familia yake akapata tatizo hili, atahududiwa na ICU chache zitawekwa "reserve" kwa ajili yao. (UBINAFSI) Na kiongozi huyu ni mbinafsi kweli kweli mithili ya kina Mobotu huku akijijengea empire na uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa ukigharimu mabilioni ya shiling kijijini kwao ambako hakuna raia mwenye uwezo wa kupanda ndege.

Ubadhilifu. Rais huyu anapanga maafa haya huku akijua wazi kua endapo maafa yatakua makubwa nchini mwake na kwingine kuthibitiwa atapewa "misaada" na hapo ndo kwenye utamu.

Raisi huyu alishashuhudiwa akikwapua mabilioni ya fedha zilizochangwa na misaada kutoka mataifa mbali mbali kwa ajili ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoa fulani nchini mwake na rais huyu akakwapua fedha yote bila kutoa msaada wowote kwa wahanga huku akisema "serikali haikukaeta tetemeko" ila mimi nikashangaa serikali kuchukua fedha za misaada ya wahanga, haikuleta tetemeko ila misaada inakwapua.

Kwa wakati mwingine ilitokea ajali mbaya ya basi la wanafunzi katika mkoa fulani nchini humo maarufu sana kwa kilimo cha bangi, michango toka kila kona ya dunia ilikusanywa kisha kama kawaida kukwapuliwa na serikali.

Sababu nyingine kwa serikali hyo kupalia kuni janga hili ni kupata sababu ya kuendelea kusalia madarakani. Serikali hyo ambayo imekua ya kifisadi na kidikteta imepoteza mvuto kwa wananchi huku ikidaiwa kutekeleza uteji wa wakosoaji.

Ni dhairi serikali hyo inaogopa uchaguzi wa huru na haki ambao uko karibuni na sasa kichaka cha corona virus ni maridhawa kujificha humo kama janga litakua kubwa kama wanavyopanga hvyo kusalia madarakani kwa kuairisha uchaguzi.

Ni dhairi serikali ya nchi hyo ya mbali inatamani na inapanga kutumia janga la corona kujikwapulia tena fedha za misaada pale hali itakapokua tete kuliko kote duniani (kama wanavyopanga) na misaa kushuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja kwanza tuendelee kumuomba Mungu hali ikikaa sawa tukutane tukununulie na wewe kahawa.
Pia kama unaoma hali si nzuri,basi jifungie ndani maana hicho kinashauriwa kila siku ila hautokisikia Instagram.
 
Kupima au kuongeza vipimo nchini ni sawa na
BINI KIZEE ANAYEMTAFUTA SIMBA MLA MIFUGO PORINI HUKU NA FIMBO YAKE MKONONI
Mpaka hapo unajionesha kwamba umechimba shimo na kuingiza kichwa chako chini, ili kuepuka matatizo ambayo hata ukijichimbia hivyo chini hayaondoki.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Hahahaaaa, ama kweli nyani haoni kundule..
Hebu rudia kusoma original thread uone matapishi yako huko nawee..
Halafuuu, hivi inakuingia akilini kweli hata wewe? Huko katika nchi zilizojifungia ndani kila siku wanakufa mamia ya watu na wanaambukizana maelfu elfu lakini katika nchi “ile” ya Rais “yule” unayemsema watu wake wanapuyanga tu mitaani na maambukizi ni machache, hivi hiyo hali haikufikirishi wewe? Hujiulizi hata kidogo kulikoni???
Sio kila wakati ni wa kutumia akili za kisayansi, mambo mengine yamefungwa kiroho. Kalaghabaoo [emoji1321]‍[emoji3603][emoji1321]‍[emoji3603][emoji53][emoji53]
Kwa hiyo mkuu umeifunga COVID-19 kwa njia ya kiroho!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi darasani ukasome fasihi wewe,. Ni ushauri tu.

Alafu akili yako imeharibiwa na dhana ya upinzani wewe! Mnaboa
Huku dunia nzima tukiwa na hali ya taadhari na mipango mbali mbali kupambana na janga hili la virus vya corona kuna nchi moja ya mbali huko kiongozi wa taifa hilo anaonekana na wengi kua hajali ila kwangu mimi namuona kwa jicho tofauti nikitazama ushahidi wa hulka zake.

Wakati mchi zotewanaamasisha kuepuka misongamano, katika nchi hyo wala hawajali kitu huku afisa fulani wa serikali anaeshutumiwa kua alipata 0 darasani akikusanya watu kila siKu kuongea "yasiyo ya msingi"

Nchi hyo ambayo tayari imeripotiwa kuwa na wagonjwa kadhaa wa corona, raisi wao anaamasisha watu waendelee kwenda kanisani na misikitini ili hali mikusanyiko inatambulika kua hatarh.. (anatamani na anapanga kwa makusudi watu wake waambukizwe usiulize kwanini, relax nitajibu swali hili punde)

Wakati dunia nzima ikishuhudia marais wa mataifa mbali mbali wakitoa rai kila mara kukumbusha, kutoa mikakati na kusisitiza wanainchi wao, raisi wa nchi hiyo yeye anaonekana akiwa anafanya utalii wa miamba huku akionekana kunywa coffee "mitaani" makusudi akiaminisha watu hakuna hatari.

Kwanini rais huyu anapanga maafa yatokee ?!
Kulijibu hili tuweke wazi mambo kadhaa, kwanza yeye na familia yake ni dhairi hawata athirika na janga hili na hata ikitokea mtu wa familia yake akapata tatizo hili, atahududiwa na ICU chache zitawekwa "reserve" kwa ajili yao. (UBINAFSI) Na kiongozi huyu ni mbinafsi kweli kweli mithili ya kina Mobotu huku akijijengea empire na uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa ukigharimu mabilioni ya shiling kijijini kwao ambako hakuna raia mwenye uwezo wa kupanda ndege.

Ubadhilifu. Rais huyu anapanga maafa haya huku akijua wazi kua endapo maafa yatakua makubwa nchini mwake na kwingine kuthibitiwa atapewa "misaada" na hapo ndo kwenye utamu.

Raisi huyu alishashuhudiwa akikwapua mabilioni ya fedha zilizochangwa na misaada kutoka mataifa mbali mbali kwa ajili ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoa fulani nchini mwake na rais huyu akakwapua fedha yote bila kutoa msaada wowote kwa wahanga huku akisema "serikali haikukaeta tetemeko" ila mimi nikashangaa serikali kuchukua fedha za misaada ya wahanga, haikuleta tetemeko ila misaada inakwapua.

Kwa wakati mwingine ilitokea ajali mbaya ya basi la wanafunzi katika mkoa fulani nchini humo maarufu sana kwa kilimo cha bangi, michango toka kila kona ya dunia ilikusanywa kisha kama kawaida kukwapuliwa na serikali.

Sababu nyingine kwa serikali hyo kupalia kuni janga hili ni kupata sababu ya kuendelea kusalia madarakani. Serikali hyo ambayo imekua ya kifisadi na kidikteta imepoteza mvuto kwa wananchi huku ikidaiwa kutekeleza uteji wa wakosoaji.

Ni dhairi serikali hyo inaogopa uchaguzi wa huru na haki ambao uko karibuni na sasa kichaka cha corona virus ni maridhawa kujificha humo kama janga litakua kubwa kama wanavyopanga hvyo kusalia madarakani kwa kuairisha uchaguzi.

Ni dhairi serikali ya nchi hyo ya mbali inatamani na inapanga kutumia janga la corona kujikwapulia tena fedha za misaada pale hali itakapokua tete kuliko kote duniani (kama wanavyopanga) na misaa kushuka.
 
Acha maisha yaendelee,usipokufa kwa corona utakufa kwa mengine,unadhan utaishi milele hapa duniani? Tufanye kazi cha msingi tuzingatie vile tunavyoagizwa na wataalamu wa afya ya namna ya kujikinga na janga hili,maisha yetu hatujafikia point ya kusema tujifungie ndan bila ya kwenda kutafuta...hili litapita na maisha yataendelea kama kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku dunia nzima tukiwa na hali ya taadhari na mipango mbali mbali kupambana na janga hili la virus vya corona kuna nchi moja ya mbali huko kiongozi wa taifa hilo anaonekana na wengi kua hajali ila kwangu mimi namuona kwa jicho tofauti nikitazama ushahidi wa hulka zake.

Wakati mchi zotewanaamasisha kuepuka misongamano, katika nchi hyo wala hawajali kitu huku afisa fulani wa serikali anaeshutumiwa kua alipata 0 darasani akikusanya watu kila siKu kuongea "yasiyo ya msingi"

Nchi hyo ambayo tayari imeripotiwa kuwa na wagonjwa kadhaa wa corona, raisi wao anaamasisha watu waendelee kwenda kanisani na misikitini ili hali mikusanyiko inatambulika kua hatarh.. (anatamani na anapanga kwa makusudi watu wake waambukizwe usiulize kwanini, relax nitajibu swali hili punde)

Wakati dunia nzima ikishuhudia marais wa mataifa mbali mbali wakitoa rai kila mara kukumbusha, kutoa mikakati na kusisitiza wanainchi wao, raisi wa nchi hiyo yeye anaonekana akiwa anafanya utalii wa miamba huku akionekana kunywa coffee "mitaani" makusudi akiaminisha watu hakuna hatari.

Kwanini rais huyu anapanga maafa yatokee ?!
Kulijibu hili tuweke wazi mambo kadhaa, kwanza yeye na familia yake ni dhairi hawata athirika na janga hili na hata ikitokea mtu wa familia yake akapata tatizo hili, atahududiwa na ICU chache zitawekwa "reserve" kwa ajili yao. (UBINAFSI) Na kiongozi huyu ni mbinafsi kweli kweli mithili ya kina Mobotu huku akijijengea empire na uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa ukigharimu mabilioni ya shiling kijijini kwao ambako hakuna raia mwenye uwezo wa kupanda ndege.

Ubadhilifu. Rais huyu anapanga maafa haya huku akijua wazi kua endapo maafa yatakua makubwa nchini mwake na kwingine kuthibitiwa atapewa "misaada" na hapo ndo kwenye utamu.

Raisi huyu alishashuhudiwa akikwapua mabilioni ya fedha zilizochangwa na misaada kutoka mataifa mbali mbali kwa ajili ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoa fulani nchini mwake na rais huyu akakwapua fedha yote bila kutoa msaada wowote kwa wahanga huku akisema "serikali haikukaeta tetemeko" ila mimi nikashangaa serikali kuchukua fedha za misaada ya wahanga, haikuleta tetemeko ila misaada inakwapua.

Kwa wakati mwingine ilitokea ajali mbaya ya basi la wanafunzi katika mkoa fulani nchini humo maarufu sana kwa kilimo cha bangi, michango toka kila kona ya dunia ilikusanywa kisha kama kawaida kukwapuliwa na serikali.

Sababu nyingine kwa serikali hyo kupalia kuni janga hili ni kupata sababu ya kuendelea kusalia madarakani. Serikali hyo ambayo imekua ya kifisadi na kidikteta imepoteza mvuto kwa wananchi huku ikidaiwa kutekeleza uteji wa wakosoaji.

Ni dhairi serikali hyo inaogopa uchaguzi wa huru na haki ambao uko karibuni na sasa kichaka cha corona virus ni maridhawa kujificha humo kama janga litakua kubwa kama wanavyopanga hvyo kusalia madarakani kwa kuairisha uchaguzi.

Ni dhairi serikali ya nchi hyo ya mbali inatamani na inapanga kutumia janga la corona kujikwapulia tena fedha za misaada pale hali itakapokua tete kuliko kote duniani (kama wanavyopanga) na misaa kushuka.
NINI MAANA YA UTUMWA WA KIFIKRA?? WHAT IS MENTAL SLAVERY. NI PALE UNAPOFIKILI KUWA MPAKA SASA TANZANIA ILITAKIWA KUWA NA WAATHIRIKA WENGI WA CORONA DUNIANI,NI KUFIKIRI KUWA TUNAISHI KWA KUBAHATISHA NA KWAMBA FUNGU LETU NI KUFA KAMA KUKU KWASABABU HATUNA UWEZO WA KUPAMBANA NA CORONA NI PALE UNAPOONA ITALY WANAKUFA,SPAIN,NA UNATAK TANZANIA RATE IWE JUU ZAIDI YA NCHI HZO, UTUMWA KWAMBA UNAAMINI ZIPO SIKU ZA WATANZANIA KULIA NA KUSAGA MENO SABABU YA KORONA HUAMIN MPAKA SASA WAGONJWA 24?? UNAJIULIZA WATANZANIA HATUAMIN? KUNA MWANAUME MAGUFULI NDIYE SHUJAA PEKEE DUNIANI MWENYE MAONO NDIE RAISI WA KWANZA KUBATILISHA MAUTI KUA UHAI, NASEMA IPO NGUVU KATIKA KAULI YAKE SHUJAA WETU KALITANGAZIA TAIFA USHINDI KWA KUKATAA NA KUBATILISHA MAUTI KUWA UZIMA, HOFU KUWA UJASIRI WA KUFANYA KAZI AMEWEKA PREDICT KWENYE VICHWA VYA WATU WAKE KWAMBA TAIFA LICHAPE KAZI AKJIVUNIA MUNGU .
Jiulize wewe hao waliochukua hatua Unazoziju hali yao ikoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom