utumbo mtupu, tena utumbo wa nguruwe huu. au wa kuku. ule unaouzwa vilabu vya tandale kwa mfuga mbwa etc. anafurahia kujivua zenji, kwa faida gani? nyie wazenji mliolegea viuno ombeni Mungu muendelee kuwepo ndani ya Tanzania, kwasababu bile hilo, mtakula jeuri yetu.
kwa habari ya Uturuki/Turkey, mwandishi wa mada hii ni mpungufu wa akili za shule sana. Israel hata siku moja haijajibembeleza kwa Turkey, wala haiiogopi Turkey. uwezo wa uturuki kivita ni mdogo sana ukilinganisha kuwa wanayo population ya watu kama milion sabini. wamechachafwa na wagiriki kwenye ule mgogowa wa cyprus hadi wamefyata mkia...maisha yao bado ni masikini sana hadi wanashindwa kuingia umoja wa ulaya. waturuki walio wengi wamezamia ulaya, ujerumani wamejaa kutafuta kazi, nchi nyingi za ulaya wamejaaa, nimesoma nao wengi pia...life lao bado chafu tu na sio watu wa muhimu sana kwa tz wala zanzibar kiuchumi wala silaha kwasababu hata silaha wanategemea toka sehemu zingine....ingia kwenye net uone GDP yao, halafu ndo upanue domo lako....
kuhusu shein, sisi watanganyika, hata kama wazenji mtajitoa, hatuna hasara, zaidi sana tunayo faida kwasababu tutakuwa tumepunguziwa mzigo, yaangu gunia tulilokuwa tunalibeba kwa muda mrefu sana kwa huruma na kuwabembeleza kama mtoto anayenyonya au kama mke mrembo...kama mkitoka, hatutafurahi kwasababu tuliwapenda, lakini hata hivyo hatutapata hasara sana. pole kwa fikra mbovu.