Bondia wa Taifa Mandonga kapigana kama wanapigana kuchi au mateja wanaopigana ngumi za mitaani Buza, dharau kibao kwa mpinzani wake mikono anaweka chini uso uko wazi haufichi mara acheze cheze ulingoni mara acheke mara ateteme ila ana ngumi jiwe kampata jamaa ngumi kibao usoni fresh tu ila katolewa Manundu mawili makubwa na kuangushwa mara mbili akawa anatambaa chini kama mtoto, katepeta refa wa mchongo akambeba mtu kazi wala hakumhesabia eti mara kabla hatujajua kinachoendelea pambano la wazee la raundi nne likaisha kihuni na halikutolewa uamuzi nani mshindi!
Wamezingua kinoma!
Bondia wa Taifa "Mandonga" leo nimeshuhudia kabebwa laivu!!