Rais wa ndondi afuta pambano la Mandonga

Rais wa ndondi afuta pambano la Mandonga

Acheni asaidie na mabondia wengine wapate hela kidogo... Watu wanaingia uwanjan kumtazama
 
Bondia wa Taifa Mandonga kapigana kama wanapigana kuchi au mateja wanaopigana ngumi za mitaani Buza, dharau kibao kwa mpinzani wake mikono anaweka chini uso uko wazi haufichi mara acheze cheze ulingoni mara acheke mara ateteme ila ana ngumi jiwe kampata jamaa ngumi kibao usoni fresh tu ila katolewa Manundu mawili makubwa na kuangushwa mara mbili akatambaa chini kama mtoto, refa wa mchongo akambeba mtu kazi wala hakumhesabia eti mara kabla hatujajua kinachoendelea pambano la wazee la raundi nne likaisha kihuni na halikutolewa uamuzi nani mshindi!

Wamezingua kinoma!

Bondia wa Taifa "Mandonga" leo nimeshuhudia kabebwa laivu!!

uzi tayari!
Kama kawaida nilijua tu michongo itaingia kwenye ngumi baada ya huyu jamaa kutumika na watu wa utopolo.

Gsm heshimu huuchezo acheni kutoa pesa mandonga abebwe kisa mlimpa jezi ya utopolo awasaidie kuwatangaza
 
Tatizo wengi mmemjua Mandonga baada ya hiyo kiki yake ila Mandonga siku zote yeye hua anapigwa baada ya kufanya tambo nyingiii,

Alishawahi kuomba acheze na Dulla Mbabe, Dulla akamkataa kwa madai hajawahi kumsikia mpiganaji kama huyo, leo nyota imefunguka, Mandonga anajulikana ndani na nje ya Nchi,

Msimkunjie Moyo ni wakati wake na yeye.
 
Nauona mwisho wa Mandonga ukikaribia baada ya mechi 3 zijazo,yani watu 2ta mzoea na matambo yake na 2ta mpotezea.
Kinachofanyika na chama Cha ngumi wanajaribu kurudisha wapenzi wa ngumi kumtumia mandonga

Mchezo wa ngumi ulishapoteza mvuto lkn wanachofanya wanapoteza wapenzi serious wa ngumi watabaki oyaoya
 
DR. SHIKA, PIERRE LIQUID NA MANDONGA umaaarufu wao ni wa Ovyo Ovyo na utaisha kwa muda Mfupi na ghafla
Mandonga bado atatrend muda mrefu tu, ujue kwanini,

Ni kwamba baada ya jamaa kupigwa na Shaban Kaoneka ndipo alipoanza kung'aa si ndiyo.

Basi umaarufu wake ulianza kushuka taratiiibu baada ya wabongo kuhamishia nguvu kwa mzungu wa Simba Dejan.

Watu wakawa wanaimba mlete mzunguuuuuuuu
Hatujamalizaaaaaaaaaaa .

Tukaona tayari Karim Mandonga anaenda kushuka lakini kutokana na mdomo na taarabu nyingi na tambo zake za kiwaki jamaa karudi tena anazungumziwa kila kona
 
Mandonga bado atatrend muda mrefu tu, ujue kwanini,

Ni kwamba baada ya jamaa kupigwa na Shaban Kaoneka ndipo alipoanza kung'aa si ndiyo.

Basi umaarufu wake ulianza kushuka taratiiibu baada ya wabongo kuhamishia nguvu kwa mzungu wa Simba Dejan.

Watu wakawa wanaimba mlete mzunguuuuuuuu
Hatujamalizaaaaaaaaaaa .

Tukaona tayari Karim Mandonga anaenda kushuka lakini kutokana na mdomo na taarabu nyingi na tambo zake za kiwaki jamaa karudi tena anazungumziwa kila kona
Hata Dr. SHIKA alikomaa hivo hivo akashiriki kwenye Bongo movie, matangazo ya biashara na nyimbo za Bongo Fleva lkn wapeeee
 
Hata Dr. SHIKA alikomaa hivo hivo akashiriki kwenye Bongo movie, matangazo ya biashara na nyimbo za Bongo Fleva lkn wapeeee
Nadhani Mandonga kawazidi... jamaa tayar ana followers laki moja insta
 
Stamina kuzima ulingoni huyu, ngumi Sio mchezo wa lelemama.
 
Back
Top Bottom