Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Achana na huyo nyumbu hawezi kuelewa kitu maana akili yake iliisha wekwa mfukoni pale ufipa.Romania imeendelea mara 5 ya Tanzania
Barua ya ikulu ungeona sahihi ya mh Zuhura Yunus ππOooh! OK!
Ahsante kwa ufafanuzi mkuu,nilidhani ni Zuhura Yunus maana yeye ndiye mtoa taarifa wa Ikulu!
Kwa mujibu wa taarifa ya Gazeti la Daily news, Rais huyo wa Romania atawasili Nchini tarehe 16 Kwa ziara ya siku 3 ambapo pamoja na mambo mengine atafanya mazungumzo na Mwenyeji wake Rais Dk Samia.
==========
Rais wa Romania Klaus Werner Iohannis anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ziara ya kiserikali ya siku nne.
Ziara hiyo, inayotarajiwa kuanza Novemba 16 hadi Novemba 19, 2023, ni sehemu ya ziara kubwa inayojumuisha nchi nne za Kiafrika, ikiwa ni pamoja na Kenya, Cape Verde, na Senegal, ikisisitiza azma ya Romania ya kukuza uhusiano imara na bara la Afrika.
Ziara ya Rais Iohannis imeundwa kwa mkakati ili kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia, kiuchumi, na kitamaduni kati ya Romania na Afrika.
Rais Iohannis atashiriki katika mashauriano muhimu ya kisiasa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa ziara yake nchini Tanzania.
Hii inaashiria dhamira mpya ya kukuza upya mahusiano ya Romania na bara la Afrika, ikilinganishwa na juhudi kubwa za kufufua mahusiano kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika.
Chanzo: Romania President to visit Tanzania - Daily News
My Take
Hakika nyota ya Mwandiplomasia namba 1 wa Tanznaia Rais Samia inawaka manaa wanapishana wenyewe huko angani kuja Tanzania π₯π₯
Karibu sana Tanzania
Kwa mujibu wa taarifa ya Gazeti la Daily news, Rais huyo wa Romania atawasili Nchini tarehe 16 Kwa ziara ya siku 3 ambapo pamoja na mambo mengine atafanya mazungumzo na Mwenyeji wake Rais Dk Samia.
==========
Rais wa Romania Klaus Werner Iohannis anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ziara ya kiserikali ya siku nne.
Ziara hiyo, inayotarajiwa kuanza Novemba 16 hadi Novemba 19, 2023, ni sehemu ya ziara kubwa inayojumuisha nchi nne za Kiafrika, ikiwa ni pamoja na Kenya, Cape Verde, na Senegal, ikisisitiza azma ya Romania ya kukuza uhusiano imara na bara la Afrika.
Ziara ya Rais Iohannis imeundwa kwa mkakati ili kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia, kiuchumi, na kitamaduni kati ya Romania na Afrika.
Rais Iohannis atashiriki katika mashauriano muhimu ya kisiasa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa ziara yake nchini Tanzania.
Hii inaashiria dhamira mpya ya kukuza upya mahusiano ya Romania na bara la Afrika, ikilinganishwa na juhudi kubwa za kufufua mahusiano kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika.
Chanzo: Romania President to visit Tanzania - Daily News
My Take
Hakika nyota ya Mwandiplomasia namba 1 wa Tanznaia Rais Samia inawaka manaa wanapishana wenyewe huko angani kuja Tanzania π₯π₯
Karibu sana Tanzania
Rumania Ulaya ni taifa maskini ni kwa nini utafute mtu maskini awe rafiki yako usitatute tajiri kama China au Marekani? NASEMA hivi ukienda porini tafuta Simba awe rafiki yako na sii swala!
Kwa mujibu wa taarifa ya Gazeti la Daily news, Rais huyo wa Romania atawasili Nchini tarehe 16 Kwa ziara ya siku 3 ambapo pamoja na mambo mengine atafanya mazungumzo na Mwenyeji wake Rais Dk Samia.
==========
Rais wa Romania Klaus Werner Iohannis anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ziara ya kiserikali ya siku nne.
Ziara hiyo, inayotarajiwa kuanza Novemba 16 hadi Novemba 19, 2023, ni sehemu ya ziara kubwa inayojumuisha nchi nne za Kiafrika, ikiwa ni pamoja na Kenya, Cape Verde, na Senegal, ikisisitiza azma ya Romania ya kukuza uhusiano imara na bara la Afrika.
Ziara ya Rais Iohannis imeundwa kwa mkakati ili kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia, kiuchumi, na kitamaduni kati ya Romania na Afrika.
Rais Iohannis atashiriki katika mashauriano muhimu ya kisiasa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa ziara yake nchini Tanzania.
Hii inaashiria dhamira mpya ya kukuza upya mahusiano ya Romania na bara la Afrika, ikilinganishwa na juhudi kubwa za kufufua mahusiano kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika.
Chanzo: Romania President to visit Tanzania - Daily News
My Take
Hakika nyota ya Mwandiplomasia namba 1 wa Tanznaia Rais Samia inawaka manaa wanapishana wenyewe huko angani kuja Tanzania π₯π₯
Karibu sana Tanzania