Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Moderators mambo mengine SI lazima tuyaweke ili kuchangia Amani somalia .Ondoeni huu Uzi.Yabakie huko huko sirini
Kwanini ni tetesi?Rais wa Somalia akitokea Africa kusini ametua kwa dharura Tanzania baada ya intelejensia kubaini kuwa angetunguliwa angani katika mpaka wa Somalia na Kenya
Karibu sana MO. huku kuna wasomali kibao tu tunawatunza vizuriView attachment 1109834
Amepokelewa na mzee wa kaanda maalumuView attachment 1109839
Alshabab hawafai
Siri gani wakati watu tumeshajua?Moderators mambo mengine SI lazima tuyaweke ili kuchangia Amani somalia .Ondoeni huu Uzi.Yabakie huko huko sirini
Wale hata yungefungwa midomo watatwangana tuSiri gani wakati watu tumeshajua?
Tunawajibika kulinda usalama wa mtu mwingine ujue chukulia majambazi wanavamia nyumbani kwako unakimbilia makaburini kujificha halafu unaona jamiii forums wamepost muda huo hup kuwa uko makaburini umejificha wakati hata majambazi yanasoma jamii forums huko ulikojificha si utaanza kujiharishia na kkumlaani aliyepost?Siri gani wakati watu tumeshajua?
Kwahiyo Kangi ndio anakaimu?!Rais wa Somalia akitokea Africa kusini ametua kwa dharura Tanzania baada ya intelejensia kubaini kuwa angetunguliwa angani katika mpaka wa Somalia na Kenya
Karibu sana MO. huku kuna wasomali kibao tu tunawatunza vizuriView attachment 1109834
Amepokelewa na mzee wa kaanda maalumuView attachment 1109839
Alshabab hawafai
Unachohofia ni nini??Moderators mambo mengine SI lazima tuyaweke ili kuchangia Amani somalia .Ondoeni huu Uzi.Yabakie huko huko sirini
Kwani kulikuwa na haja gani ya ku post .Huyo aliyepiga picha akamatweUnachohofia ni nini??
Kwahiyo Kangi ndio anakaimu?!
Kwani amevua nguo?Kwahiyo Kangi ndio anakaimu?!
Kavunja sheria gani??Kwani kulikuwa na haja gani ya ku post .Huyo aliyepiga picha akamatwe
Moderators mambo mengine SI lazima tuyaweke ili kuchangia Amani somalia .Ondoeni huu Uzi.Yabakie huko huko sirini