YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Usalama wa nchi ukoje kwa kumuanika wazi wazi yeye sawa Yuko salama je kwetu Kama nchi hatujiweki pabaya?lakini hapa tayari yupo mikono salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usalama wa nchi ukoje kwa kumuanika wazi wazi yeye sawa Yuko salama je kwetu Kama nchi hatujiweki pabaya?lakini hapa tayari yupo mikono salama
....atue kwenye aridhi yetu alafu iwe siri! Nchi hii ni Mali ya watanzani wana haki yakujua kila ajae na anae toka.Moderators mambo mengine SI lazima tuyaweke ili kuchangia Amani somalia .Ondoeni huu Uzi.Yabakie huko huko sirini
Usalama wa nchi ukoje kwa kumuanika wazi wazi yeye sawa Yuko salama je kwetu Kama nchi hatujiweki pabaya?lakini hapa tayari yupo mikono salama
Hakuna mpuuzi atayetia miguu hapa, mipaka yetu ipo imara Kuna ulinzi wa kutoshaUsalama wa nchi ukoje kwa kumuanika wazi wazi yeye sawa Yuko salama je kwetu Kama nchi hatujiweki pabaya?
Usalama wa nchi ukoje kwa kumuanika wazi wazi yeye sawa Yuko salama je kwetu Kama nchi hatujiweki pabaya?lakini hapa tayari yupo mikono salama
Haya mambo mkuu mimi siyajui.Ndege ilipata hitilafu rubani akatafuta pa kutua kwa dharura na akaruhusiwa au aliomba kutua naviongozi wakawa wako tayari tayari kumpokea.Sijaelewa nisaidieni nangoja
Hata hao wangefanya siri lengo la kumtungua lingefanikiwa haikuwa siriTunawajibika kulinda usalama wa mtu mwingine ujue chukulia majambazi wanavamia nyumbani kwako unakimbilia makaburini kujificha halafu unaona jamiii forums wamepost muda huo hup kuwa uko makaburini umejificha wakati hata majambazi yanasoma jamii forums huko ulikojificha si utaanza kujiharishia na kkumlaani aliyepost?
Tunapowaambia kuhusu mpenda sifa, mtembea na Ilani za ichaguzi, mvaa vitambaa vya bendera ya Taifa kwenye suti.Moderators mambo mengine SI lazima tuyaweke ili kuchangia Amani somalia .Ondoeni huu Uzi.Yabakie huko huko sirini
....unahofia usalama wakati kila siku tunaambiwa tutembee vifua mbele nchi iko salama!! au hukuona makomando wetu wanapasua tofari uwanja wa taifa? hahahaaa nyie kijani mbona waoga sanaUsalama wa nchi ukoje kwa kumuanika wazi wazi yeye sawa Yuko salama je kwetu Kama nchi hatujiweki pabaya?
Mkuu hawa jamaa sio wakupuuzia hata kidogo. Wakenya wanajua mziki waoHao wavaa sandals hakuna kitu
Ili paendelee kuwa safe Kuna mengine yanatakiwa kuwa Siri.Amani pia hulindwa.Na ulinzi mmojawapo Ni kuficha Siri ya uwepo wa huyo raisi wa somaliaKama unajua hapa in mahali safe kwa nn unataka pawe na usiri wa namna hyo? Ni haki yetu pia kujua
Duh tutabaki salama mbele ya Alishababi kweli ??Rais wa Somalia akitokea Africa kusini ametua kwa dharura Tanzania baada ya intelejensia kubaini kuwa angetunguliwa angani katika mpaka wa Somalia na Kenya
Karibu sana MO. huku kuna wasomali kibao tu tunawatunza vizuriView attachment 1109834
Amepokelewa na mzee wa kaanda maalumuView attachment 1109839
Alshabab hawafai
mana hamna namna kila mtu ataelewa tu mwaka huu hata uwe na kichwa ngumu vip View attachment 1110925