Tetesi: Rais wa Somalia atua kwa dharura nchini, akwepa kutunguliwa

Status
Not open for further replies.
Hahahahahaaaaaaaaaa!Anakujaje nchini wakati Rais wetu yuko nje ya nchi???Alitaka kutunguliwa nini?
 
hayo yote umesikia mkuu, lakin wenzio wameandika hayo hapo so sisi za kuambiwa tutachanganya na zetu
 
Praise team at work!!!!
Kumbe msingi wa habari hii ni"sifa"???Aisee,akikosolewa muwe mnaandika pia!!!
so akisifiwa haitakiwi kuzileta mana akikosolewa basi jua chadema hao mana watu wa nje wanaona kazi inayofanywa
 
Praise team at work!!!!
Kumbe msingi wa habari hii ni"sifa"???Aisee,akikosolewa muwe mnaandika pia!!!
Wala usihangaike praise team ni bashite anatumia ID zake zote haamini kuwa Magufuli hata book 7 hawamtaki bora wale vumbi kuliko kubakia wanapraise mtu ambaye hana jipya
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…