Rais wa TFF ahusishwa kupokea rushwa ya mamilioni kutoka CAF. Mwenyewe akana tuhuma hizo

Rais wa TFF ahusishwa kupokea rushwa ya mamilioni kutoka CAF. Mwenyewe akana tuhuma hizo

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
KAIRA-720x450.jpg


Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia anadaiwa kuwa miongoni mwa walionufaika na TZS milioni 46 ($20k) zilizogawiwa na Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmad Ahmad zinazodaiwa kuwa ni rushwa.

Rais Ahmad anatuhumiwa kwa rushwa na matumizi mabaya ya ofisi, ikiwa ni miaka miwili tu tangu alipotwaa uongozi wa chombo hicho kikubwa cha soka Afrika.

Nyaraka zilizowasilishwa FIFA zimeonesha kuwa Ahmad Ahmad aliisababishia CAF gharama ya ziada ya takribani TZS bilioni 2 (
$830,000) kwa kuagiza vifaa kupitia kampuni ya Ufaransa ijulikanayo kama Tactical Steel.

Pia anatuhumiwa kuwadhalilisha watumishi wanne wakike wa CAF ambao majina yao hayakuwekwa bayana.

Zaidi Ahmad Ahmad anatuhumiwa kukiuka sheria za CAF na kuongeza uwakilishi wa Morocco ndani ya shirikisho hilo.

Aidha anatuhumiwa kutumia zaidi ya TZS milioni 925 ($400,000) of CAF za CAF kwa ajili ya magari nchini Misri na Madagascar ambapo ofisi ndogo za CAF zimefunguliwa.

Afisa mwanamizi wa CAF ambaye hakutaka jina lake lifahamike amesema kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji (EC) ya CAF, Amr Fahmy aliyetoa tuhuma hizo dhidi ya Rais wa CAF amefutwa kazi.

CAF imethibitisha kuwa Fahmy alifutwa kazi Alhamisi iliyopita katika mkutano wa EC, siku moja kabla ya droo ya fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON), lakini hawakueleza sababu.

Nafasi yake imechukuliwa na Mouad Hajji kutoka Morocco.
======

KANUSHO LAKE
Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (TFF), Wallece Karia amekanusha taarifa zilizoenea kwenye mitandao kuanzia jana kuwa alipokea rushwa ya Tsh. Milioni 46 kutoka kwa rais wa shirikisho la soka barani Afrika kwa hivi sasa, Ahmed Ahmed ili aweze kumuunga mkono katika uchaguzi wa shirikisho hilo.

Karia akizungumza kwa njia ya simu na Television ya taifa (TBC) amesema taarifa hizo hazina ukweli wowote kwasababu yeye hakuwepo madarakani wakati uchaguzi wa CAF unafanyika na kumuweka Ahmed kwenye kiti cha urais.

"Kwanza kwenye mitandao hiyo ambayo ina-trend haijataja jina langu imesema Tanzanian FA president, lakini watu wamitandao ya Tanzania wamebadilisha wameweka jina langu, lakini kipindi hicho wakati Ahmed Ahmed anaingia kwenye uchaguzi mimi sikuwa rais, na nna uhakika pia kwasasabu ukisoma ule mtandao unasema huyo rais wa shirikisho hakupata hiyo hela’’ amesema Karia.

Aidha, Karia ameongeza kuwa kilichopelekea jina lake kutajwa kwenye sakata hilo ni chuki binafsi za watu wanaopingana na utendaji wake wa kazi ndani ya Shirikisho hilo.


MY TAKE:

Karia kashaanza kuletewa utundu Lissu, nasubiri akane. Unaleta Siasa kwenye Mpira
 
KAIRA-720x450.jpg

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia anadaiwa kuwa miongoni mwa walionufaika na TZS milioni 46 ($20k) zilizogawiwa na Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmad Ahmad zinazodaiwa kuwa ni rushwa.
Rais Ahmad anatuhumiwa kwa rushwa na matumizi mabaya ya ofisi, ikiwa ni miaka miwili tu tangu alipotwaa uongozi wa chombo hicho kikubwa cha soka Afrika.

Nyaraka zilizowasilishwa FIFA zimeonesha kuwa Ahmad Ahmad aliisababishia CAF gharama ya ziada ya takribani TZS bilioni 2 (
$830,000) kwa kuagiza vifaa kupitia kampuni ya Ufaransa ijulikanayo kama Tactical Steel.

Pia anatuhumiwa kuwadhalilisha watumishi wanne wakike wa CAF ambao majina yao hayakuwekwa bayana.
Zaidi Ahmad Ahmad anatuhumiwa kukiuka sheria za CAF na kuongeza uwakilishi wa Morocco ndani ya shirikisho hilo.
Aidha anatuhumiwa kutumia zaidi ya TZS milioni 925 ($400,000) of CAF za CAF kwa ajili ya magari nchini Misri na Madagascar ambapo ofisi ndogo za CAF zimefunguliwa.

Afisa mwanamizi wa CAF ambaye hakutaka jina lake lifahamike amesema kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji (EC) ya CAF, Amr Fahmy aliyetoa tuhuma hizo dhidi ya Rais wa CAF amefutwa kazi.
CAF imethibitisha kuwa Fahmy alifutwa kazi Alhamisi iliyopita katika mkutano wa EC, siku moja kabla ya droo ya fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON), lakini hawakueleza sababu.

Nafasi yake imechukuliwa na Mouad Hajji kutoka Morocco.

MY TAKE:

Karia kashaanza kuletewa utundu Lissu, nasubiri akane. Unaleta Siasa kwenye Mpira
Ndo maana siku hizi niliona picha akiwa Masri kwenye droo tumbo kubwa kumbe ndo mafanikio ya tuhuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soka inapogeuka chanzo cha ufisadi.
 
What do you expect kwa Mbongo? Mbaya zaidi kwa Msomali?
 
KAIRA-720x450.jpg

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia anadaiwa kuwa miongoni mwa walionufaika na TZS milioni 46 ($20k) zilizogawiwa na Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmad Ahmad zinazodaiwa kuwa ni rushwa.
Rais Ahmad anatuhumiwa kwa rushwa na matumizi mabaya ya ofisi, ikiwa ni miaka miwili tu tangu alipotwaa uongozi wa chombo hicho kikubwa cha soka Afrika.

Nyaraka zilizowasilishwa FIFA zimeonesha kuwa Ahmad Ahmad aliisababishia CAF gharama ya ziada ya takribani TZS bilioni 2 (
$830,000) kwa kuagiza vifaa kupitia kampuni ya Ufaransa ijulikanayo kama Tactical Steel.

Pia anatuhumiwa kuwadhalilisha watumishi wanne wakike wa CAF ambao majina yao hayakuwekwa bayana.
Zaidi Ahmad Ahmad anatuhumiwa kukiuka sheria za CAF na kuongeza uwakilishi wa Morocco ndani ya shirikisho hilo.
Aidha anatuhumiwa kutumia zaidi ya TZS milioni 925 ($400,000) of CAF za CAF kwa ajili ya magari nchini Misri na Madagascar ambapo ofisi ndogo za CAF zimefunguliwa.

Afisa mwanamizi wa CAF ambaye hakutaka jina lake lifahamike amesema kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji (EC) ya CAF, Amr Fahmy aliyetoa tuhuma hizo dhidi ya Rais wa CAF amefutwa kazi.
CAF imethibitisha kuwa Fahmy alifutwa kazi Alhamisi iliyopita katika mkutano wa EC, siku moja kabla ya droo ya fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON), lakini hawakueleza sababu.

Nafasi yake imechukuliwa na Mouad Hajji kutoka Morocco.

MY TAKE:

Karia kashaanza kuletewa utundu Lissu, nasubiri akane. Unaleta Siasa kwenye Mpira
🤐🤐🤐
 
KAIRA-720x450.jpg

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia anadaiwa kuwa miongoni mwa walionufaika na TZS milioni 46 ($20k) zilizogawiwa na Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmad Ahmad zinazodaiwa kuwa ni rushwa.
Rais Ahmad anatuhumiwa kwa rushwa na matumizi mabaya ya ofisi, ikiwa ni miaka miwili tu tangu alipotwaa uongozi wa chombo hicho kikubwa cha soka Afrika.

Nyaraka zilizowasilishwa FIFA zimeonesha kuwa Ahmad Ahmad aliisababishia CAF gharama ya ziada ya takribani TZS bilioni 2 (
$830,000) kwa kuagiza vifaa kupitia kampuni ya Ufaransa ijulikanayo kama Tactical Steel.

Pia anatuhumiwa kuwadhalilisha watumishi wanne wakike wa CAF ambao majina yao hayakuwekwa bayana.
Zaidi Ahmad Ahmad anatuhumiwa kukiuka sheria za CAF na kuongeza uwakilishi wa Morocco ndani ya shirikisho hilo.
Aidha anatuhumiwa kutumia zaidi ya TZS milioni 925 ($400,000) of CAF za CAF kwa ajili ya magari nchini Misri na Madagascar ambapo ofisi ndogo za CAF zimefunguliwa.

Afisa mwanamizi wa CAF ambaye hakutaka jina lake lifahamike amesema kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji (EC) ya CAF, Amr Fahmy aliyetoa tuhuma hizo dhidi ya Rais wa CAF amefutwa kazi.
CAF imethibitisha kuwa Fahmy alifutwa kazi Alhamisi iliyopita katika mkutano wa EC, siku moja kabla ya droo ya fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON), lakini hawakueleza sababu.

Nafasi yake imechukuliwa na Mouad Hajji kutoka Morocco.

MY TAKE:

Karia kashaanza kuletewa utundu Lissu, nasubiri akane. Unaleta Siasa kwenye Mpira
[emoji850][emoji850][emoji1139]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora useme Mtanzania mwenye asili ya Somalia. Labda hilo afadhali kidogo. Lakini bado ni Msomali tu. Kesi yake Uhamiaji imeisha? Kapewa passport?
Wallace siyo Msomali. Ni mdigo wa Tanga.
 
Back
Top Bottom