Rais wa TFF amewaonya waandishi wa habari kutomuuliza swali lolote Rais wa FIFA kuhusu Zanzibar!

Rais wa TFF amewaonya waandishi wa habari kutomuuliza swali lolote Rais wa FIFA kuhusu Zanzibar!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiukweli hii sasa ni siasa, Rais wa TFF amewaonya waandishi wa habari watakaohudhuria mikutano wa Rais wa FIFA atakayewasili nchini hivi karibuni kutomuuliza Rais huyo swali lolote kuhusu Zanzibar. Source Star tv habari. Mytake; najiuliza tu Rais wa TFF anapata wapi madaraka ya kuwapangia waandishi aina ya maswali ya kuuliza?!!
 
Kiukweli hii sasa ni siasa, Rais wa TFF amewaonya waandishi wa habari watakaohudhuria mikutano wa Rais wa FIFA atakayewasili nchini hivi karibuni kutomuuliza Rais huyo swali lolote kuhusu Zanzibar. Source Star tv habari. Mytake; najiuliza tu Rais wa TFF anapata wapi madaraka ya kuwapangia waandishi aina ya maswali ya kuuliza?!!
He is right, kwa sababu ki Fifa, Zanzibar doesn't exist. Kififa nchi ni moja tuu, JMT.

Ni sawa na kumuuliza SG wa UN kuhusu kilichokuwa kiti cha Zanzibar kule UN.
P
 
Hii ni kweli au uzushi tu?

Mtu mwenye akili mbovu kama hizi eti ndio alichaguliwa kuongoza TFF kweli?

Hii nchi mtu anapopata hata mamlaka ya kuwa mwenyekiti wa familia anadhani ana mamlaka ya kila aina. Ajabu kweli
 
Kiukweli hii sasa ni siasa, Rais wa TFF amewaonya waandishi wa habari watakaohudhuria mikutano wa Rais wa FIFA atakayewasili nchini hivi karibuni kutomuuliza Rais huyo swali lolote kuhusu Zanzibar. Source Star tv habari. Mytake; najiuliza tu Rais wa TFF anapata wapi madaraka ya kuwapangia waandishi aina ya maswali ya kuuliza?!!

Yuko sawa, Hata ningelikuwa ni mimi nisengeliruhusu maswali ya kijinga jinga kama hilo la Zanzibar
 
Kiukweli hii sasa ni siasa, Rais wa TFF amewaonya waandishi wa habari watakaohudhuria mikutano wa Rais wa FIFA atakayewasili nchini hivi karibuni kutomuuliza Rais huyo swali lolote kuhusu Zanzibar. Source Star tv habari. Mytake; najiuliza tu Rais wa TFF anapata wapi madaraka ya kuwapangia waandishi aina ya maswali ya kuuliza?!!

Hivi Rais wa TFF Wallace Karia anajua dhana halisi ya Sports Tourism? Tuanzie hapa Kwanza.
 
Huyu rais wa TFF wakati anachaguliwa nilikuwa nikidhani kuwa atakuwa mtu wa maana kwenye kuendeleza soka la nchi hii ni lakini nimekuja kugundua kuwa naye kumbe ni mjinga mjinga tu
 
Kiukweli hii sasa ni siasa, Rais wa TFF amewaonya waandishi wa habari watakaohudhuria mikutano wa Rais wa FIFA atakayewasili nchini hivi karibuni kutomuuliza Rais huyo swali lolote kuhusu Zanzibar. Source Star tv habari. Mytake; najiuliza tu Rais wa TFF anapata wapi madaraka ya kuwapangia waandishi aina ya maswali ya kuuliza?!!
Nashukuru mkuu johnthebaptist umeliona hili.

Hivi hii nchi kwa nini siasa imeteka kila kitu?!

Tunaenda wapi johnthebaptist?!
 
Back
Top Bottom