Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Huyu rais wa TFF wakati anachaguliwa nilikuwa nikidhani kuwa atakuwa mtu wa maana kwenye kuendeleza soka la nchi hii ni lakini nimekuja kugundua kuwa naye kumbe ni mjinga mjinga tu
Tokea nachaguliw ana ukiangalia historia yake huyu ni kada na subiri akitoka hapo nauwakika anaenda kugombea ubunge huyu kwa ccm.