Huyu rais wa TFF wakati anachaguliwa nilikuwa nikidhani kuwa atakuwa mtu wa maana kwenye kuendeleza soka la nchi hii ni lakini nimekuja kugundua kuwa naye kumbe ni mjinga mjinga tu
Mambo kama haya kweli tutaweza shiriki hata fainali za AFCON au World Cup?!
Kweli kichwa cha mwendawazimu..
Taulo la kipa wa Njombe Mji lilivyozua kizaazaa dimba la Sabasaba
via YouTube