Rais wa TFF autaka uongozi wa Yanga kutengua uamuzi wa kujitoa Kagame Cup ndani ya saa 48 zijazo

Yanga kakimbia mziki wa simba, anajua fika hawezi kutoka mbele ya simba kwa hali aliyonayo.
 
Yanga wakiingia uwanjani wanakua na matokeo mkononi, ndio maana wanajiondoa
 
Mmmmh Ratiba inatubana Sana ndo maana Yanga sisi mashabiki tumelizia kwa Yanga kujitoa kagame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…