Dotto Mnzava
R I P
- Mar 6, 2014
- 864
- 427
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania - TFF, Jamal Malinzi, kesho siku ya Jumanne tarehe 23 Juni, 2015 ataongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Hoteli ya Tansoma eneo la Gerezani - Kariakoo majira ya saa 5 kamili asubuhi.
Waandishi wote wa habari mnaombwa kuhudhuria bila kukosa.
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
Baraka Kizuguto,
Media & Communication Officer
Waandishi wote wa habari mnaombwa kuhudhuria bila kukosa.
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
Baraka Kizuguto,
Media & Communication Officer