Umeandika kitu cha msingi sana. Sote kuna tunapotaka kuwa lakini kila mmoja anadhani njia yake ndio sahihi wakati tukishirikiana mawazo tutafika huko bila lawama au 'kuvutana mikia'!Tatizo ni uandishi au Tatizo ni nini mkuu? Sijakuelewa aisee, unaweza kunisahihisha pia
Mkuu barafu,Ally Mayai Tembele na mgombea aliyeko TRA ni watu wawili tofauti.A
Anaitwa Ally Mayai Tembele
Hivi yupo TRA au Wizara ya Viwanda na Biashara kama Afisa Masoko(?)
Ngoja watakuja kutusahihisha mkuu,tusubiri wenye uhakika
Frank Wanjiru ni house boy wa Malinzi mkuuJamaa mmoja hivi anaitwa [HASHTAG]#Frank[/HASHTAG] wanjiru hata Mimi alinitusi!
Jamaa alikuwa anamtetea malinzi kinoma!sijui alikuwa malinzi mwenyewe!
Nieleweshe mkuu wanguMkuu barafu,Ally Mayai Tembele na mgombea aliyeko TRA ni watu wawili tofauti.
Hatofaa ikifikia kufungwa. Lakini kwa anatuhumiwa tuu... siwezi kusema mtu hafai kwa sababu ya tuhuma tu mkuu
Yes, maelezo yako hayo yanamhusu Ally Tembele. Huyo wa TRA sina kumbukumbu ya jina lake, lakini niliona kwenye media baada ya kuchukua fomu walimtambulisha kama mfanyakazi wa TRA. Ana mwili sio kibaumbau kama Ally Tembele. Ukifuatilia hata google unaweza kupata jina lakeNieleweshe mkuu wangu
Huyu Ally Mayai Tembele si ndiyo yule ukiwa nyumbani unatazama Azam Sports Xtra anafanyq uchambuzi wa habari za michezo?
Na si ndio huyu huitwa Ally Mayai?Aliyepata kuchezea Yanga na timu ya Taifa?Na husemwa kuwa ni mtumishi wa Wizara niliyotaja?
Je huyo wa TRA ni nani??nisaidie tafadhari
Shule sio kigezo.
1. Sep Blatter hakuwa na shule
2. Uongozi ni jinsi unavyo endesha Taasisi unayoiongoza huku ukiwa na dhamira ya kweli moyoni wala sinkwa mtazamo wa kujinufaisha binafsi.
3. Mbona kule sifa ni kusoma na kuandika na bado watu wanaongoza!!
4. Ally Mayai anafaa sana kwa sababu, secretariet ndio mtendaji, yeye anakuwa ni figure tu.
Alicheza kikapu mkuu.Sifa za kuwa raisi lazima uwe umecheza mpira vp malinzi kacheza wapu
Siyo hujuma.Cc Frank Wanjiru Pdidy Njoo angalieni hujuma anayo fanywa Malinzi...
Yule yupo central shimoni nae nasikia,,,analialia tu,Wangemkamata na yule mpiga debe wake hapa JF Wanjiru
Mkuu huo uwanja umejengwa huko kijijini?Nchi hii sometime unaweza kushindwa kuelewa wakati wa kuwa serious au wakati wa kutimiza 'melengo' fulani fulani. Sio ajabu ukasikia kuwa alijenga uwanja wa golf kijijini kwake kwa pesa za tff!
Hzo zote ni dhana ndg. We umeona kuna ubaya gani kuhamisha ofisi za shirikisho? Matokeo yapi yaliyopangwa? Kushuka kwa viwango vya stars ni suala la ufundi, ndio maana wameona njia bora ya kunusuru soka letu ni kuwekeza kwa vijana kama walivyofanya wenzetu mataifa yaliyoendelea. Ubaguzi wa kikabila hata me sikubaliani naye, japo ipo hvyo taasisi nyingi tu duniani. Kuhusu ubadhirifu, siwezi kusema chochote maana me sijaona ushahidi wowote wa kudhihirisha hayo. Jambo lingine muhimu ni kujua kuwa maamuzi ya raisi wa shirikisho ktk mambo ya ufundi sio wa mwisho. Kuna kamati ya utendaji na sekretarieti yake ambazo zinafanya kazi nyingi sana kwa pamoja.
TAKUKURU wamechukua simu zao zote!!