Rais wa TFF Karia ana tatizo gani Kocha Fred Felix Minziro? Tazama video hii

Rais wa TFF Karia ana tatizo gani Kocha Fred Felix Minziro? Tazama video hii

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919
Leo ilikuwa fainali ya ligi daraja la kwanza kati ya mshindi wa kundi A na B, Mbeya kwanza vs Geita Gold. Geita inayonolewa na Minziro imeshinda. Sasa wakati Fred anaenda kuchukua tuzo yake Karia alihakikisha hampi mkono Baba Isaya.

Hata kama wanatofauti zao,ila Karia kama kiongozi amefanya utoto sana,kiongozi huwezi kufanya vile.

 
Nijambo la kuvunja moyo kuona kiongozi mkubwa sana wa ngazi za juu wa soka anayafanya haya.

Rais wa TFF WALLACE Karia amefanya ubaguzi wa kisiasa za simba na yanga tena wa kijinga.

Tazameni anavyo mkwepa Fredy Minziro ili wasipeane mikono kisa siasa za soka la bongo.

Hii haileti afya bora ya maendeleo ya soka hapa nchini.

 
Ndiye Rais aliyeleta mafanikio zaidi ligi ya bongo,kapata endorsement ya hatari kutoka Azam,sidhani kama mwekezaji makini ligi ingekuwa ambaya angethubutu kufanya hvyo,hivyo tuvitu tudogo tudogo haviwezi kumuondolea credibility yake Bw.Karia
 
Mbowe kasema wachaga hawaajiriwi serikalini.... wamawia wameajiriwa wangapi serikalini?
Kwa Hiyo Mbowe ni kiongozi wa wachaga au msemaji wa wachaga peke yao sio? Tutawarudishia dada zao tuchokozeni tu.
 
Nijambo la kuvunja moyo kuona kiongozi mkubwa sana wa ngazi za juu wa soka anayafanya haya.

Rais wa TFF WALLACE Karia amefanya ubaguzi wa kisiasa za simba na yanga tena wa kijinga.

Tazameni anavyo mkwepa Fredy Minziro ili wasipeane mikono kisa siasa za soka la bongo.

Hii haileti afya bora ya maendeleo ya soka hapa nchini.View attachment 1803138
Hapo ndiyo naanza kuamini, jamaa sio mtanzania, watanzania hawana roho mbaya kama hiyo. Yaan video inaonesha aliposikia Jina la Fred akafura,alichukia mno, na alivyozuga kupokea mkono, kwa kuangalia nyuma na baada ya Fred kuondoka akazuga kwa kuangalia alikotoka, chuki chuki juu ya chuki.Bora angempa tano kuliko kufanya hivyo.Huyo ndio akuze soka nchini wakat wadau wa soka anawachukia, tangu awe madarakani ktk rank ya fifa tz ipo pale pale 135/136/137.
 
Karia ni mjinga sana, kaibania GeitaGold mda mrefu sana, sass imetoboa yamemshuka.
Mkuu wewe ni shabiki wa soka kweli au unaendeshwa na mihemko tu,,
Karia ndo kaibania geita mwaka gani huo ebu tukumbushe..
Geita ilidhulumiwa haki yako kipindi cha jamal malinzi sjui ulikua wapi mkuu miaka ile.
 
Back
Top Bottom