CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,048
Alichokifanya Karia ni UPUMBA, UJINGA, UMAVI na UPUUZI. Mungu amnyooshe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbaf, wewe kiongozi labda wa kuchunga mbuzi hapo kwenu koromitjechunga domo lako, mi ni kiongozi mkubwa sana wa taifa hili
Huyu ni Msomalia hivyo hizo tabia ni utamaduni wao wa kuchukiana nakulipa visasiHapo ndiyo naanza kuamini, jamaa sio mtanzania, watanzania hawana roho mbaya kama hiyo. Yaan video inaonesha aliposikia Jina la Fred akafura,alichukia mno, na alivyozuga kupokea mkono, kwa kuangalia nyuma na baada ya Fred kuondoka akazuga kwa kuangalia alikotoka, chuki chuki juu ya chuki.Bora angempa tano kuliko kufanya hivyo.Huyo ndio akuze soka nchini wakat wadau wa soka anawachukia, tangu awe madarakani ktk rank ya fifa tz ipo pale pale 135/136/137.
akili zako na karia ziko sawaPumbaf,wewe kiongozi labda wa kuchunga mbuzi hapo kwenu koromitje
Labda mambo ya covid19, yawezekana Karia ana kipimo chake cha mwili cha kuhisi covid19. Halafu, mgeni rasmi kwenye mechi kubwa kama ile uvaaji gani huo!? Lakini kuna mtu alikuwa anazunguka nyuma ya hao waheshimiwa yawezekana alimdistract akashindwa kumpa mkono Baba Isaya.Tatizo hutumii akili hata kwenye mambo madogo.
Kaipata kwao Somalia,Jamaa hii tabia sijui kaipata wapi maana watanzania hatuna tabia hizi za kikaburu
Nikweli, kwani Karia ni Rais wa Simba?Write your reply...minziro ni mwana yanga, na karia ni mwana simba.
Hata Yule wa uhamiaji nae alijiita Boss watakukuru acha kutisha watu kijinga hapa Kama huwezi kujibiwa tofauti toka kaa pembeni na uongozi wako, ungekuwa kiongozi mwenye nidhamu na heshima hata kwenye uzi huu usingekuwepo.chunga domo lako, mi ni kiongozi mkubwa sana wa taifa hili
Atarudi tena maana wajumbe wote amewaweka mfukoniHuyo ndie Rais wa mpira wetu, anatakiwa ajiuzulu kwa huo utoto wa kiwango cha juu alichofanya, hafai kuwa kiongozi wa mpira kama anawatenga wengine, Karia kauaibisha mpira wa Tanzania.
Akili ni nywele kila mtu ana zake, kama hiyo video imetengenezwa kipropaganda basi Rage maneno yake yataendelea kuishiBila shaka we ni UTOPOLO.
Acha propaganda za kipumbavu.
Karia mitano tena!!
Naunga Mkonyo HojaWeka video
We huoni alikuwa anaongea na mtu hapo?Akili ni nywere kila mtu anazake, kama hiyo video imetengenezwa kipropaganda basi Rage maneno yake yataendelea kuishi
Wabongo kwa kugombanisha watu, wewe hauoni hiyo direction aliyotazama? Weka video tuoneRais wa TFF Walace Karia akikataa kumpa mkono Coach Fred Ferix Minziro baada ya kutangazwa kuwa kocha Bora wa ligi Daraja la kwanza baada ya timu yake kuwa Mabingwa wa fainal ya ligi daraja kwanza baada ya kuifunga Geita 1.0View attachment 1803218