Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF Wallace Karia ametembelea Kambi ya Yanga Avic Town na kushuhudia mazoezi ya klabu hiyo kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zalan FC utakaofanyika kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es salaam
Karia kwenye mazungumzo yake na kikosi hicho, amesema kuwa ana hakika kuwa timu hiyo itafanya vizuri kwa namna alivyowaona wakicheza mechi za Ligi, huku akiviombea vilabu vya Tanzania kushinda michezo yao na akitaka nafasi nne Kimataifa zilindwe.
"Nataka hizi nafasi nne Kimataifa tuzilinde" amesema Wallace Karia
Karia kwenye mazungumzo yake na kikosi hicho, amesema kuwa ana hakika kuwa timu hiyo itafanya vizuri kwa namna alivyowaona wakicheza mechi za Ligi, huku akiviombea vilabu vya Tanzania kushinda michezo yao na akitaka nafasi nne Kimataifa zilindwe.
"Nataka hizi nafasi nne Kimataifa tuzilinde" amesema Wallace Karia