Rais wa TFF Wallace Karia atembelea Kambi ya Yanga SC kushuhudia mazoezi ya klabu hiyo

Rais wa TFF Wallace Karia atembelea Kambi ya Yanga SC kushuhudia mazoezi ya klabu hiyo

Mwanaume kapambana sasa hivi Tanzania inapeleka team nne halafu misekule ya hersi inauliza simba ana mafanikio gani kimataifa wakati hizo nafasi nne hamna point moja ya utopolo hapo.
Unafanana na kinyesi mkuu
 
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF Wallace Karia ametembelea Kambi ya Yanga Avic Town na kushuhudia mazoezi ya klabu hiyo kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zalan FC utakaofanyika kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es salaam

Karia kwenye mazungumzo yake na kikosi hicho, amesema kuwa ana hakika kuwa timu hiyo itafanya vizuri kwa namna alivyowaona wakicheza mechi za Ligi, huku akiviombea vilabu vya Tanzania kushinda michezo yao na akitaka nafasi nne Kimataifa zilindwe.

"Nataka hizi nafasi nne Kimataifa tuzilinde" amesema Wallace Karia

View attachment 2351872
Walitakiwa wasimruhusu kufika avic. Wangeonesha hasira iliyopo
 
Unajua athari ya kumzuia Raisi wa TFF kwenye issue ya mpira?viongozi wako sio mazuzu kumruhusu.Karia atazuiliwa kuingia nyumbani Kwa manara sio Kambi ya team yoyote ya mpira wa miguu au uwanjani kikiwa kinapigwa
Unaposema raisi ni vema uka specify unazungumzia nani? Kama ni hili jitu hakuna athari yoyote kumzuia kuingia kwenye mazoezi ya timu tema ana wa distract wachezaji na vururuga program za walimu. Akwende Malawi akawasidie ndugu zake uko
JamiiForums1269237728.jpg
 
Karia kaonyesha wazi hana neno na Yanga shida ipo kwa zeruzeru.
 
Back
Top Bottom