Tangu lini msomali akawa mzalendo kwa wananchi?Kwahivyo hata hili Uzalendo nalo hajapenda kuliona?
Uyo ni msomali ambae amekatiza njia za panya kule horohoro akaingia Tanga na sijawahi kuona msomali mzalendo hapa TzHuyu Wallace Karia Mdigo wa Tanga ndo maana amepata ridhaa ya kusimamia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania.
Kama ilivyo kwa Engineer.
Ndo maana akasisitiza nafasi nne Kimataifa zilindwe..!Mwanaume kapambana sasa hivi Tanzania inapeleka team nne halafu misekule ya hersi inauliza simba ana mafanikio gani kimataifa wakati hizo nafasi nne hamna point moja ya utopolo hapo.
Bora tu wangemfungia geti, ili ijulikane moja. Ana nongwa sana huyu jamaa dhidi ya Yanga.Kashaenda kutia nuksi mpuuzi huyu. Walimruhusuje?
Thubutu yao, kuna mwenye uwezo wa kumfungia geti hapo.! huyu ni Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania.Bora tu wangemfungia geti, ili ijulikane moja. Ana nongwa sana huyu jamaa dhidi ya Yanga.
Angeenda zake Malawi kwa wale ndugu zake, hakuna ambaye angeshangaa.
Unajua athari ya kumzuia Raisi wa TFF kwenye issue ya mpira?viongozi wako sio mazuzu kumruhusu.Karia atazuiliwa kuingia nyumbani Kwa manara sio Kambi ya team yoyote ya mpira wa miguu au uwanjani kikiwa kinapigwaKashaenda kutia nuksi mpuuzi huyu. Walimruhusuje?