Rais wa TFF Wallace Karia atembelea Kambi ya Yanga SC kushuhudia mazoezi ya klabu hiyo

Mwanaume kapambana sasa hivi Tanzania inapeleka team nne halafu misekule ya hersi inauliza simba ana mafanikio gani kimataifa wakati hizo nafasi nne hamna point moja ya utopolo hapo.
Unafanana na kinyesi mkuu
 
Walitakiwa wasimruhusu kufika avic. Wangeonesha hasira iliyopo
 
Unajua athari ya kumzuia Raisi wa TFF kwenye issue ya mpira?viongozi wako sio mazuzu kumruhusu.Karia atazuiliwa kuingia nyumbani Kwa manara sio Kambi ya team yoyote ya mpira wa miguu au uwanjani kikiwa kinapigwa
Unaposema raisi ni vema uka specify unazungumzia nani? Kama ni hili jitu hakuna athari yoyote kumzuia kuingia kwenye mazoezi ya timu tema ana wa distract wachezaji na vururuga program za walimu. Akwende Malawi akawasidie ndugu zake uko
 
Karia kaonyesha wazi hana neno na Yanga shida ipo kwa zeruzeru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…