Rais wa TLS aridhika hukumu ya mahakama dhidi ya maafande

Rais wa TLS aridhika hukumu ya mahakama dhidi ya maafande

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
1727718661087.png
---
Rais wa TLS kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa x ameandika chaisho linaoonekana likiunga mkono hukumu iliyotolewa kwa Nyundo, Askari wenzake dhidi ya Binti wa Yombo. Katika andiko hilo Mwabukusi ameandika:
Justice at Last. Hii haswa ndiyo sehemu ya utawala wa sheria sina sababu ya msingi ya kutofurahia hukumu hii ya Haki.Japo next time Mahaka isizuie wadau wa haki ili haki ionekane ikitendeka.Wamevuna walichostahiki.
PIA SOMA
- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
 
Kuna vitu kama vijana tunafanya, vinaonekana vya kawaida sana, lkn watu wakikukazia muelekeo mzima wa maisha unabadirika.

Mungu atuepushie mbali.
 
Back
Top Bottom